Siangalii mwanamke mara mbili.

Siangalii mwanamke mara mbili.

Suala la kupata au kutopata mfadhaiko ni uamuzi wa mtu.......
Hata sasa hivi nikitaka kupata mfadhaiko kwa kutazama tu avatar yako napata
Watu wanadhani hilo ni jambo linalotokea tu hivihivi bila kujua sababu ni wao wenyewe
Hata mwanamke akae uchi wa mnyama kama sijataka kusisimkwa sisisimkwi kabisa

I can control my feelings and my body
Am not an animal...!!!!!!!

thanx my brother ila sentensi ya mwisho inatuonyesha jinsi tulivyo na wanyama wengi wenye maumbile ya ubinadamu!
 
tungekua na watu kama wewe hata 20tu mmu shetan angepata shida,hongera xana mwenye akili kajifunza kitu hapa mimi nime2mia i principle4long time,bwana akubariki kwa kuubili neno lake kwenye mtandao,subiri baraka zako.thanks dear brother
 
Kitendo cha wanaume kukodolea sana wanawake hasa warembo ndo tatizo linalowaingiza wanaume wengi kwenye matatizo, leo nawapa siri yangu inayonifanya nisianguke kwenye tamaa za mara kwa mara, siangalii mwanamke mara mbili, hata akiwa mzuri namna gani, nikimuona mara ya kwanza sigeuzi tena shingo kwake. Unajua nini, ukigeuza tena utajikuta unaanza kutamani ana figure nzuri, mara macho yake noma na hata wale wapenda mizigo mikubwa utasema lile ---- noma, huo ndo mwanzo wa tamaa na matatizo.

Kwa nini unajitesa? Wakati fahari ya macho haifilisi duka
 
536008_424562944275132_301497734_n.jpg
 
Kitendo cha wanaume kukodolea sana wanawake hasa warembo ndo tatizo linalowaingiza wanaume wengi kwenye matatizo, leo nawapa siri yangu inayonifanya nisianguke kwenye tamaa za mara kwa mara, siangalii mwanamke mara mbili, hata akiwa mzuri namna gani, nikimuona mara ya kwanza sigeuzi tena shingo kwake. Unajua nini, ukigeuza tena utajikuta unaanza kutamani ana figure nzuri, mara macho yake noma na hata wale wapenda mizigo mikubwa utasem
a lile ---- noma, huo ndo mwanzao wa tamaa nay matatizo.

hongera ndg,utajiepusha na mengi
 
Kitendo cha wanaume kukodolea sana wanawake hasa warembo ndo tatizo linalowaingiza wanaume wengi kwenye matatizo, leo nawapa siri yangu inayonifanya nisianguke kwenye tamaa za mara kwa mara, siangalii mwanamke mara mbili, hata akiwa mzuri namna gani, nikimuona mara ya kwanza sigeuzi tena shingo kwake. Unajua nini, ukigeuza tena utajikuta unaanza kutamani ana figure nzuri, mara macho yake noma na hata wale wapenda mizigo mikubwa utasema lile ---- noma, huo ndo mwanzo wa tamaa na matatizo.

Mwisho wa usiku utakuwa kama mjomba wangu, Ustaadh Yusuf Djibril nakati ya Magomeni..Baada ya dini kumkolea sana, yeye akawa akitembea haangalii wala kuongea na wanawake kabisa. Unajua aliishia wapi? Tuma neno ALIPOISHIA kwenda namba 15777. Utakatwa buku tano tu
 
Nadhani ukiangalia na baada ya kuangalia ukashinda vishawishi unakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi.
 
Back
Top Bottom