Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Muachege kutuangalia hadi 2najikwaaga na kuharibu kucha zetu ebo!!
Na nyie punguzeni mbwembwe, watotö mnatufanyia makusudi kila siku boxer zinatoboka kwa mbele.
Muachege kutuangalia hadi 2najikwaaga na kuharibu kucha zetu ebo!!
Alahu Wakbaru. Mungu anatufanyia makusudi wallah.
Rotflmfao.Tena wewe nikibahatika kukutana wewe, ntakuangalia mpaka upate mimba. Mi penda sana totoz walah. Mungu ashukuriwe kwa uumbaji wake mantashau.
Jamaa atakuwa ana matatizo. Badala ya kuangalia utukufu wa Mungu eti anaangalia pembeni. Watu wengine bana.
Rotflmfao.
Are you gay?
Wanawake ni utalii wa ndani, hauhitaji Kagasheki wala nani, tembo wenyewe washamalizwa.
no sio kwamba siamini...unajua ni wanaume WACHACHE sana walio na muamko huo na wakameintein...so zaidi ya yote mi nikutakie kila la kheri na Baraka za Mwenyezi Mungu zitakuwa nawe inshaallah!
En zen?Na wewe nakukusanyia nguvu, siku ntakapokutia machoni, utajuta kwanini ulizaliwa alhamisi usiku wakati mvua inanyesha. Ntakuangalia mpk naniliu ijivue yenyewe.
So mtoa mada is half guy, is half gay??