....... si ndio ukafika muda wa kutuma salamu.....

....... si ndio ukafika muda wa kutuma salamu.....

Madigo

Member
Joined
Mar 7, 2013
Posts
24
Reaction score
11
.... Baada ya maongezi ya muda mrefu kati ya mtangazaji wa RTD na Mgonjwa ktk kipindi cha wagonjwa mahospitalini. Ndipo mgonjwa akapewa nafasi ya kutuma salamu....

Mgonjwa: Kwanza kabisa natuma salamu kwa marehemu mjomba aliyefariki mwaka jana, namwambia nipo njia moja nakuja huko uniandalie makazi na yale mambo yetu..... sina mengi. napenda kupigiwa wimbo wa KIFO OOH KIFO uliopigwa na BOB MARLEY akiwa na kundi la AKUDO IMPACT. Asante sana ndugu mtangazaji
 
.... Baada ya maongezi ya muda mrefu kati ya mtangazaji wa RTD na Mgonjwa ktk kipindi cha wagonjwa mahospitalini. Ndipo mgonjwa akapewa nafasi ya kutuma salamu....

Mgonjwa: Kwanza kabisa natuma salamu kwa marehemu mjomba aliyefariki mwaka jana, namwambia nipo njia moja nakuja huko uniandalie makazi na yale mambo yetu..... sina mengi. napenda kupigiwa wimbo wa KIFO OOH KIFO uliopigwa na BOB MARLEY akiwa na kundi la AKUDO IMPACT. Asante sana ndugu mtangazaji



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Sina shaka huyu alikuwa ni mgonjwa wa akili, tena ulioletelezwa na utumiaji kitu cha A town tu!
 
Back
Top Bottom