Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
- Thread starter
- #61
Kasome jinsi Hussein Bashe alivyoshambuliwa baada ya kuandika tweet ya kumpongeza Magu na kusema miaka mingine mitano kwa Magu.Mkuu ukweli wa walichokifanya ili kupora uchaguzi wanakijua sana ndiyo sababu wamepiga kimya wahuni hawa.