Si lazima Serikali ifuate Waraka wa TEC au BAKWATA

Exactly,tech ni wapuuz
 
Ccm ni ile ile.
Wanasema Vatican ndo majasusi wa kidunia.
Rais alienda kutana na viongozi wote wa dini.
Ghafla Dr.Slaa akasema kupindua nchi.
Akakamatwa.
Waraka wa wale waliokaa na Rais ukatolewa hasa na TEC .
Ghafla ishu ya Bandari inakaa kidini na sio kiupinzani Tena.
Ghafla Rais anasema hakuna mwenye ubavu.
Inawezekana CCM wanatuchezea eti!
Hii ajenda ya Bandari huenda imepitishwa hapa tunachezewa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…