Hakuna shaka kwamba Mama Maria Nyerere, atadumu katika historia kama mke wa mwasisi wa Taifa letu. Kama ukili wetu ukiona mafanikio ya mwanamme basi nyuma yake kuna mwanamke mwenye busara.
Vilivyopewa jina la mume wake vinatosha.
Apart from being wife of the first president, what else she did? Lets be logical. They got allowance, that enough for them.
Tatizo mumuwe hakumshauri vizuri kuhusu Muungano huu wa kihuni.Muungano ambao watanganyika tumefukuzwa ndani ya Nchi yetu(makurunge?)na kutokuruhusiwa kumiliki ardhi Zanzibar.Tumalize kwanza hizi changamoto za Muungano ndiyo tumfikirie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.