si kupenda kwangu!!!!!!

si kupenda kwangu!!!!!!

Jaman beibe nasty ulivyosema "si kupenda kwangu" nimejisikia huzuni, kwamba isingekuwa ubize wako hadi leo ungekuwa na Judgement si ndio? Ila usijali nitamtunza vizuri sana. Nashukuru kwa wosia wa uvumilivu, nitautekeleza.
 
Last edited by a moderator:
Jaman beibe nasty ulivyosema "si kupenda kwangu" nimejisikia huzuni, kwamba isingekuwa ubize wako hadi leo ungekuwa na Judgement si ndio? Ila usijali nitamtunza vizuri sana. Nashukuru kwa wosia wa uvumilivu, nitautekeleza.

Una miakili wewe! Ndiyo maana nilikutongoza ukatongozeka! nikakusaundisha ukasaundika! Nikakudarasisha, ukadarasika! Mwisho wa siku Nikakuwowa!
Ai lav yuu tuu!
 
Last edited by a moderator:
Kweli kizuri kula na mwenzio...
habari humu jamvini nimetokea kufurahishwa sana na uamuzi wa my ex husband kuwa amepata jiko jipya kwa moyo mkunjufu kabisa Ynnah karibu ktk ulimwengu wa malovee na bwana judgement ila tuu kua muangalifu coz ndoa ni uvumilivu..........
nahisi sasa my sister and my shost Charming Lady umeridhika sasa kuwa nimepata taarifa.
Angalizo: bado sijarudi rasmi maana kuna majukumu ya menkaba but nimewamis Arusha One, Erickb52, Babu Aspirin, mentor my bro my Dad watu8, kipipi my sis and others 🙂
 
Una miakili wewe! Ndiyo maana nilikutongoza ukatongozeka! nikakusaundisha ukasaundika! Nikakudarasisha, ukadarasika! Mwisho wa siku Nikakuwowa!
Ai lav yuu tuu!


Mbona nasoma vitenzi vifurukushi tu hapa au kiswahili kimeanza kunipiga chenga....
 
Jaman beibe nasty ulivyosema "si kupenda kwangu" nimejisikia huzuni, kwamba isingekuwa ubize wako hadi leo ungekuwa na Judgement si ndio? Ila usijali nitamtunza vizuri sana. Nashukuru kwa wosia wa uvumilivu, nitautekeleza.

mpenzi usiwe na hofu mambo sasa shwariiiiii hakuna shari
 
Kumbe Judgementi kavuta mali mpya.........

Kweli nimeadimika humu khaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Kumbe Judgementi kavuta mali mpya.........

Kweli nimeadimika humu khaaaaaa

Si unaona BT ! Namna ulivyokua msununu now dayz!
Unamana hata magazeti husomi? Coz tulianaus magazeti kwa magazeti!
Radio lukuki! Mbao zote za matangazo!
Niko tuliii, mwana wa mwanamke mwenzio, najisosolea finyango kiulaiiyynii.
Kunyanzi za moyo zote tupa kulee!
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nikitoka Ntwara nitakuja kutoa kauli nzito kuhususiana na suala hili.

Huko Mtwara angalia manake nasikia polisi wameanza kuchoma nyumba za raia sijui wana hasira hawajalipwa posho na vitu vyenye ncha kali vinarushwa, marejesho sijui kama umemuaga akatoa ruhusa
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom