Hao wanaoitwa wasomi wa Jf wengi ni mambumbumbu tu, hawanaga hoja zaidi ya matusi na balaaa zaidi wanachangia hoja wakiwa na njaa, wasomi huwa wanajadili hoja na sio kujadili mtu, watu au kikundi cha watu na matukio, wasomi gani wasiojua kua mtu au taasisi fulani haiwezi kutenda mema tu au mabaya tu? Wasomi gani kazi kulalamika kila uitwao leo? Wasomi wasioweza kutatua jambo zaidi ya kulialia? Kiukweli Jf imejaa vijana wasiotumia akili au hata akili zao kufikiri kisomi, kuandika facts na kuzichambua kisayansi...Wamiliki na hao watumishi nao wa hii Jf wanaonekana nao kama kina Mange Kimambi, kazi yao kuacha mijadala ya upande mmoja, mijadala inayoshambulia na kutukana Serikali na CCM, mijadala inayokashifu Uislam na Viongozi wake ndio wanayopenda kuiona....Hapa Jf nipo tu kwasababu sina mahala pengine pakujadili mambo kiuhalisia.