Si kila wanachofanya CHADEMA kiko sahihi

Si kila wanachofanya CHADEMA kiko sahihi

tunarudi nyuma kidoho... hivi unazijua njia za kutatua mgogoro?? ways of problem solving?? lazima ujue tatizo ndio ujue nani alio kosea. Kwa kifupi CDM waliandamana wakiwa na sababu zao binafsi ikiwemo kuchelewesha kwa barua za kiapo kwa mawakala wao wa uchaguzi. Pia watu wanawalaumu polisi kwa kutumia nguvu kubwa kuzuia maandamano hali iliyopelekea kujeruhiwa kwa watu pamoja na kifo cha mwanafunzi. Ushauri wangu mimi naona busara zingetumika kwa rais kukaa meza moja ya majadiliano na CDM ili kujua wanataka nini. Lasivyo huko tunakoenda ni kubaya zaidi ya hapa tulipo sasa maana hakuna jambo baya kama chuki, watanzania tunasifiwa kuwa na amani lkn sisi tunachuki siku watu wakipata pakuanzia ndio utakuja kuyamaani maneno yangu.
Chuki haiko kwa kiwango iko usemacho haijafika hata 5% kitu ambacho kipo kila nchi.....hata USA mauaji yapo
 
tunarudi nyuma kidoho... hivi unazijua njia za kutatua mgogoro?? ways of problem solving?? lazima ujue tatizo ndio ujue nani alio kosea. Kwa kifupi CDM waliandamana wakiwa na sababu zao binafsi ikiwemo kuchelewesha kwa barua za kiapo kwa mawakala wao wa uchaguzi. Pia watu wanawalaumu polisi kwa kutumia nguvu kubwa kuzuia maandamano hali iliyopelekea kujeruhiwa kwa watu pamoja na kifo cha mwanafunzi. Ushauri wangu mimi naona busara zingetumika kwa rais kukaa meza moja ya majadiliano na CDM ili kujua wanataka nini. Lasivyo huko tunakoenda ni kubaya zaidi ya hapa tulipo sasa maana hakuna jambo baya kama chuki, watanzania tunasifiwa kuwa na amani lkn sisi tunachuki siku watu wakipata pakuanzia ndio utakuja kuyamaani maneno yangu.
Mtaani kuko shwari nilikuwa kino last week yani shwari kabisa tofauti na hali ilivyo mitandaoni...mfano mange na maandamano yake ukienda mtaani hawajui hata kinachoendelea
 
Chuki haiko kwa kiwango iko usemacho haijafika hata 5% kitu ambacho kipo kila nchi.....hata USA mauaji yapo
Nafikiri huna hoja za kuendeleza mada ndio maana umenza kuja na hoja dhaifu. Huko USA mauaji yakitokea aliohusika na mauaji anachkuliwa hatua A to Z lkn Bongo kwenye sheria kufuata mkondo wake ndio pagumu watu wangapi wameuwawa au kupotea na hakuna taarifa rasmi kutoka kwa polisi ambao ndio wanadhamana na usalama wetu sisi kama raia? Njoo na fact zinazoonesha watu waliochukuliwa hatua baada ya kufanya haya makosa ambayo yanatugawa sisi kama watanzania.
 
Nafikiri huna hoja za kuendeleza mada ndio maana umenza kuja na hoja dhaifu. Huko USA mauaji yakitokea aliohusika na mauaji anachkuliwa hatua A to Z lkn Bongo kwenye sheria kufuata mkondo wake ndio pagumu watu wangapi wameuwawa au kupotea na hakuna taarifa rasmi kutoka kwa polisi ambao ndio wanadhamana na usalama wetu sisi kama raia? Njoo na fact zinazoonesha watu waliochukuliwa hatua baada ya kufanya haya makosa ambayo yanatugawa sisi kama watanzania.
This is Africa ndugu...hata ukiwa wew president ni yaleyale....then tambua mi ni mvuvi nafanya uvuvi sina chama OK BT iko wazi Chadema wakiguswa kwa mabaya yao lazima upewe kejeli km hizi ulizoanza we we...sawa hoja dhaifu...BT husiishi kwa dhana ...mbowe katuhumiwa kumuua chacha wangwe mbona ili mnakwepa kulizungumzia? Km ni kweli alifanya anashindwaje kwa Tundu lisu MTU aliyekuwa anatishia nguvu yake CHADEMA? Na ya kwenu pia myajbu sio kushadadia ya wengine mkuu...
 
Mtaani kuko shwari nilikuwa kino last week yani shwari kabisa tofauti na hali ilivyo mitandaoni...mfano mange na maandamano yake ukienda mtaani hawajui hata kinachoendelea
Naomba unitafutie takwimu za watu wanaomiliki simu za mikononi nchini Tanzania. Najua TCRA watakuwa wametoa takwimu zao vizuri tu. Ninachotaka kukisema nafikiri asilimia 50 ya watanzania wanamiliki simi za mkononi na katika hiyo asilimka hamsini tuassume watanzania asilimia 30 pekee wanamiliki simu janja (Smart Phone) alf fanya kautafiti uone mpasuko uliopo wapi wapo negative na wapi wapo possitive nikiwa na maana wanaomsapiti rais na ambao hawamsapiti rais ni wapi wengi then ndio uje kwenye hoja yangu ya chuki zilizojengeka ndani ya watanzania hapo ndipo utanielewa naongea nini.
 
tunarudi nyuma kidoho... hivi unazijua njia za kutatua mgogoro?? ways of problem solving?? lazima ujue tatizo ndio ujue nani alio kosea. Kwa kifupi CDM waliandamana wakiwa na sababu zao binafsi ikiwemo kuchelewesha kwa barua za kiapo kwa mawakala wao wa uchaguzi. Pia watu wanawalaumu polisi kwa kutumia nguvu kubwa kuzuia maandamano hali iliyopelekea kujeruhiwa kwa watu pamoja na kifo cha mwanafunzi. Ushauri wangu mimi naona busara zingetumika kwa rais kukaa meza moja ya majadiliano na CDM ili kujua wanataka nini. Lasivyo huko tunakoenda ni kubaya zaidi ya hapa tulipo sasa maana hakuna jambo baya kama chuki, watanzania tunasifiwa kuwa na amani lkn sisi tunachuki siku watu wakipata pakuanzia ndio utakuja kuyamaani maneno yangu.
Umejibu vizuri sana ila hujanijibu kwa nini lawana ziwakose? Busara wanastahili polisi tu cdm hawastahili kutumia busara? Muda wa maandamo kisheria ulishapita pia hawakuwa na kibari je hilo sio tatizo? Vyama vya siasa vitaheshimika pale blue mkisema hii blue, ila kwa tabia ya kukwepa majukumu pale mkienda kinyume inatia shaka. Ni hayo tu nikushukuru kwa kujibu hoja kwa ustaarabu
 
Naomba unitafutie takwimu za watu wanaomiliki simu za mikononi nchini Tanzania. Najua TCRA watakuwa wametoa takwimu zao vizuri tu. Ninachotaka kukisema nafikiri asilimia 50 ya watanzania wanamiliki simi za mkononi na katika hiyo asilimka hamsini tuassume watanzania asilimia 30 pekee wanamiliki simu janja (Smart Phone) alf fanya kautafiti uone mpasuko uliopo wapi wapo negative na wapi wapo possitive nikiwa na maana wanaomsapiti rais na ambao hawamsapiti rais ni wapi wengi then ndio uje kwenye hoja yangu ya chuki zilizojengeka ndani ya watanzania hapo ndipo utanielewa naongea nini.
Mi nasafiri sana kusambaza samaki ndugu chuki unayosema haipo...then kumiliki simu janja haimanishi unachuki ok ....chuki haipo hivyo alafu wanazi wa CHADEMA wengi si wapiga kura kura 30000 kwa 12000 unasemaje wizi wa kura gap 18000 ....we mtumishi wa umma husafiri hadi likizo chuki haipo
 
Umejibu vizuri sana ila hujanijibu kwa nini lawana ziwakose? Busara wanastahili polisi tu cdm hawastahili kutumia busara? Muda wa maandamo kisheria ulishapita pia hawakuwa na kibari je hilo sio tatizo? Vyama vya siasa vitaheshimika pale blue mkisema hii blue, ila kwa tabia ya kukwepa majukumu pale mkienda kinyume inatia shaka. Ni hayo tu nikushukuru kwa kujibu hoja kwa ustaarabu
Kuna jambo moja nataka kukuambia kuna njia mbali mbali za kudai haki zipo njia za amani na pia njia za vurugu. Ukiona watu wanatumia nguvu kudai haki zao ujue basi kwenye njia ya amani imeshindikana. Viongozi wa pande zote mbili wanatakiwa wajitadhini, wakae chini waweze kujadiliana juu ya mustakabali wa siasa za Tanzania ndipo tutaweza kuifikia Tanzania ya viwanda. Maendeleo ni mchakato sio hatua kama watu wengi wanavodhania hiki Magufuli anachokifanya leo ni kwaajili ya miaka thelathini mbele. Kwa kuhitimisha nakushukuru pia kwa mchango wako kwa kujengo hoja zako pasipo matusi. Mimi sio mwanasiasa napanda harakati, pia ni mwanafunzi wa Chuo kikuu tumaini Dsm.
 
Naomba kukuuliza swali hivi Twaweza wakiwa wanafanya utafiti huwa wanatukia njia gani??

Miongoni mwa njia ni simu kama unaona mtandaoni kuna mpasuko basi ujue hata hapo ulipo kunamgawanyiko Tanzania hakuna siasa za kijamaa.

Tukienda mwa majirani zetu Kenye wapinzani wamepewa ulinzi siku Odinga akijiapisha kuwa rais wa watu wa Kenya lkn Tanzania wapinzani wamenyiwa haki yao ya kikatiba ya kufanya mikutano ya hadhara.
 
This is Africa ndugu...hata ukiwa wew president ni yaleyale....then tambua mi ni mvuvi nafanya uvuvi sina chama OK BT iko wazi Chadema wakiguswa kwa mabaya yao lazima upewe kejeli km hizi ulizoanza we we...sawa hoja dhaifu...BT husiishi kwa dhana ...mbowe katuhumiwa kumuua chacha wangwe mbona ili mnakwepa kulizungumzia? Km ni kweli alifanya anashindwaje kwa Tundu lisu MTU aliyekuwa anatishia nguvu yake CHADEMA? Na ya kwenu pia myajbu sio kushadadia ya wengine mkuu...
Sasa nini maana ya kuwa na vyombo vya usalama?? Nafikiri jeshi la polisi lingethibitisha hiyo taarifa ya Mbowe mbona kungekuwa hakuna tatizo. Nafikiri kwa uelewa wangu mdogo mamlaka husika hazifanyi kama inavyopaswa kufanya hasa likija suala la kusimamia sheria.
 
Naomba nikuweke sawa,waliopo wengi jamii forum ni std 7 pamoja na form 4. pili unavozungumzia dola unatakiwa kujua dola inaongozwa na chama gani ndio utajua kwann watu wanailamu ccm kwa kila kosa linalofanywa na dola.



wela takwim wacha kuhi hisi tu.
 
wela takwim wacha kuhi hisi tu.
unataka takwimu?? turudi kwenye sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 ilisema Tanzania inawasomi milioni mbili na watumiaji wa hii platform ni wangapi?? idadi unayo wewe watanzania wengi wanabasic education ambayo ni darasa la saba. Tukianzia hapo pigia idadi ya wanafunzi wanaoanza darasa la kwanza kwa mwaka fulani alf tuje waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza tufike hadi form 4 utupe idadi ya waliobalia pake kidato cha pili huku usisahau watakaofanikiwa kujiunga na elimu ya kidato cha tano na cha sita then tuende vyuo vikuu ndio tuje na idadi yao uone kati ya waliobaki na waliosongo ni wapi wengi ndio utajua jamii foroum imetawaliwa na watu wa aina gani. bila hata ya kuwa na takwimu sahihi tukatumia akili ya kuzaliwa tu
 
unataka takwimu?? turudi kwenye sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 ilisema Tanzania inawasomi milioni mbili na watumiaji wa hii platform ni wangapi?? idadi unayo wewe watanzania wengi wanabasic education ambayo ni darasa la saba. Tukianzia hapo pigia idadi ya wanafunzi wanaoanza darasa la kwanza kwa mwaka fulani alf tuje waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza tufike hadi form 4 utupe idadi ya waliobalia pake kidato cha pili huku usisahau watakaofanikiwa kujiunga na elimu ya kidato cha tano na cha sita then tuende vyuo vikuu ndio tuje na idadi yao uone kati ya waliobaki na waliosongo ni wapi wengi ndio utajua jamii foroum imetawaliwa na watu wa aina gani. bila hata ya kuwa na takwimu sahihi tukatumia akili ya kuzaliwa tu
jf inatumiwa zaidi vijijini o mjini?
 
wengi walio na elimu ya chuo kikuu'wasomi'km unavyodai 90% wako mjini.na ndio wengi wanatumia s.netwk + jf.
Nini maana ya utandawazi? siku hizi bro kuna free flow of news hii inachagizwa zaidi na maendeleonya sayansi na teknolojia unavosema wasomi wengi wapo mjini na ndio watumiaji wa social network sio kweli maana mimi mwenyewe nipo mjini bado sijafikia hiyo levo ya elimu ya kuitwa msomi ndio napambana.

Na ukiangalia tu kinachoandikwa na watu wengi humu utajua ni watu wa aina gani ndio wamejaa humu ila yote kwa yote kuna wasomi ambao wamekuwa wanaongea shit mtamdaoni.
 
Kwann uandamane bila kibali na CHADEMA uwa wanajinadi wanafuata utawala wa sheria? Inamaana hakuna njia mbadala hadi waandamane....OK yule diwani aliyekatwa mapanga unailamu VP polisi au CCM wao wamefanya nn? Tusiishi kwa dhana cz km tukienda kwa dhana CHADEMA wanalo la kujibu juu ya kifo cha CHACHA wangwe hadi Leo kimya....dhana zipuuzwe utaratibu ufuatwe...
Hebu toa wewe njia mbadala maana mikutano imezuiliwa, vikao vinavamiwa.

Unapolaumu toa njia mbadala
 
Sasa nini maana ya kuwa na vyombo vya usalama?? Nafikiri jeshi la polisi lingethibitisha hiyo taarifa ya Mbowe mbona kungekuwa hakuna tatizo. Nafikiri kwa uelewa wangu mdogo mamlaka husika hazifanyi kama inavyopaswa kufanya hasa likija suala la kusimamia sheria.
Hata wakithibisha huwezi kusadiki...ishu ya bilicanas umesahau serikali ilitoa info BT pro chadema hamkuamini mlihisi anaonewa,,,km jambo dogo km ilo humkuamini VP jambo kubwa la mauaji?
 
hili ni kweli mm chadema nilishahama mda tu maana wanakurupuka
hivi msingefanya maandamano mchaenda mahakamani polisi wangeingia mtaani? dada wa watu angepoteza maisha ? alafu mnajifanya ndio mnaonewa kumbe bangi zenu mnapoteza maisha ya watu
 
Hebu toa wewe njia mbadala maana mikutano imezuiliwa, vikao vinavamiwa.

Unapolaumu toa njia mbadala
Mbadala ni Kufuata utawala wasemalo ....mikutano haijakatazwa ni uelewa wako tu....kila tawala na mambo yake....km CHADEMA moja ya itakadi zao wanaamini sana wageni.....na kuwapa nyazifa za juu haraka haraka tena kwenye vyombo vya maamuzi km CC hii itikadi...kuna uwezekano mwenyekiti angekuwa lisuu hisingewezekana...
Pia chadema wana asili ya ubinafsi sana hii ni itikadi mfano km kweli kuna UKAWA y wamsimamishe mgombea wakati wanajua lile lilikuwa jimbo la CUF?
Nakupa mifano ya namna ambavyo kila tawala ina mambo yake magufuli sio kikwete......
Mfano lisu ni aina ya watu ambao hawaamini katika mawazo ya wengine..yani lisu mda wote anadhania yuko sahihi ...kitu ambacho sio kweli anakosea sana tu..
MTU km lisu akiwa president ni tatizo kubwa sana.. Unaweza husinielewe kwa haraka cz ur now blind BT mbowe ana busara sana kuliko lisuu so kila utawala na mambo yake ..dance according to the tune..
 
Back
Top Bottom