Si kila wanachofanya CHADEMA kiko sahihi

Si kila wanachofanya CHADEMA kiko sahihi

kama ni msomaji wa comment utagundua watu wengi huwa wanachangia nje ya mada hii inatikana na uelewa mdogo juu ya mada (elimu). Chadema nao wanastahili lawama kwa upande flani lkn kabla ya kuwalaumu unatakiwa kujua sababu ya wao kuwa chanzo cha matatizo.
Mi nina swali moja tu, kwa mfano ikitokea kuna mtu amebakwa, je huyu mbakaji anastahili kuhukumiwa au tutafuta sababu kwa nini alibaka?
 
Mi nina swali moja tu, kwa mfano ikitokea kuna mtu amebakwa, je huyu mbakaji anastahili kuhukumiwa au tutafuta sababu kwa nini alibaka?

Lazima kuwe na uchunguzi, na apimwe akili, mfano ww ulijua nabii tito ni mgonjwa wa akili?
 
Baada ya kulazimisha nakuandamana ili kuchukua hizo form wamepata faida gani? Kwanini wasingetumia Busara ya kawaida tu.
Wamepata faida, kwa serikali kuaibika na kuingia gharama zisizo za lazima.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mi nina swali moja tu, kwa mfano ikitokea kuna mtu amebakwa, je huyu mbakaji anastahili kuhukumiwa au tutafuta sababu kwa nini alibaka?
kabla ya mahakama kutoa hukumu huwa inawapa kazi polisi ya kufanya uchunguzi then kama mtu akibainika amehusika ndio hukumu inamhusu. Nini maana ya kufanya uchunguzi?? Nibkutaka kujua chanzo cha tatizo na huwa wanatoa takwimu zao pia kesi za ubakaji ni ngapi kwa mwaka na kinachowafanya watu wawe wabakaji ni nini. Mfano mila pitofu na uchu wa kimapenzi sasa sidhani kama kuna hukumu inayotoka bila ya sababu au kujua tatizo ni nini hadi mtu nafanya hilo kosa.
 
Sina tatizo na hoja ulizotoa OK....una uhakika gani km serikali imehusika ishu ya lisu? Hivi haujui km lisu wakili? Unajua anasimamia kesi ngapi zenye risk gani? Pia hoja yangu mbona mapungufu ya CHADEMA huyasemi? Kwann MTU akisema mnamkebei wakati kuna Uhuru wa mawazo...?
Uhuru wa mawazo ndio kitu pekee jamaa yenu hapendi. Umewahi kujiuliza ni kwa nini bunge lilienda gizani?! Umewahi kujiuliza yanayoyakuta vyombo vya habari vinavyotangaza fairly ?! Jiulize kwa nini ITV kwa kutangaza wizi wa kura hadharani baada ya sanduku kuporwa wamelazimishwa kuomba radhi?!

Uhuru wa habari ni injili isiyoeleweka mtaa wa Lumumba
 
Kumbuka tuna miaka56+ toka tupate uhuru lakini bora tungekuwa na hayo mabeberu tu maana Uhuru wetu hautusaidiiiiii kaa chini utafakari na hata ikibidi ukiona cdm wamepinga jambo chukua daftar mpya anza kufuatilia chanzo na suluhisho lake utagundua nn tatzo
 
Vipi...unapenda kuulizauliza hovyohovyo.
7cfdcca11df42a9c72a3a1dc85c06bf6.jpg
 
Uhuru wa mawazo ndio kitu pekee jamaa yenu hapendi. Umewahi kujiuliza ni kwa nini bunge lilienda gizani?! Umewahi kujiuliza yanayoyakuta vyombo vya habari vinavyotangaza fairly ?! Jiulize kwa nini ITV kwa kutangaza wizi wa kura hadharani baada ya sanduku kuporwa wamelazimishwa kuomba radhi?!

Uhuru wa habari ni injili isiyoeleweka mtaa wa Lumumba
Kwanza fafanua# jamaa yenu unamaanisha nni ok# then sheria ya vyombo vya habari inasemaje ...(jinsi vyombo ya habari vinavyotakiwa kufanya) fafanua then connect na ITV ili tujue km wameonewa au vp
 
Hiyo faida hasara?
Faida kwa sababu imejulikana duniani pote kwamba nanyi ni ma dictator uchwara . Na pili nawe ujue hauko salama!!! Kwani Aquilina hakujua kama yupo hatarini, nawe ujue utalenga mtutu cdm, lakini watakufa wasio na hatia kama Aquilina. PoLE YAKO
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Jibu n moja tuu ccm imechokwa na wengi ndo maana taha uipambe vp bado member hawatakuelewa.
 
kabla ya mahakama kutoa hukumu huwa inawapa kazi polisi ya kufanya uchunguzi then kama mtu akibainika amehusika ndio hukumu inamhusu. Nini maana ya kufanya uchunguzi?? Nibkutaka kujua chanzo cha tatizo na huwa wanatoa takwimu zao pia kesi za ubakaji ni ngapi kwa mwaka na kinachowafanya watu wawe wabakaji ni nini. Mfano mila pitofu na uchu wa kimapenzi sasa sidhani kama kuna hukumu inayotoka bila ya sababu au kujua tatizo ni nini hadi mtu nafanya hilo kosa.
Umejibu vizuri polisi walifyatua risasi baada ya cdm kufanya maandamano yasio na kibarii, tunapowalaumu polisi Cdm lawma hizi zinawaepukaje?
 
Umejibu vizuri polisi walifyatua risasi baada ya cdm kufanya maandamano yasio na kibarii, tunapowalaumu polisi Cdm lawma hizi zinawaepukaje?
tunarudi nyuma kidogo... hivi unazijua njia za kutatua mgogoro?? ways of problem solving?? lazima ujue tatizo ndio ujue nani alio kosea. Kwa kifupi CDM waliandamana wakiwa na sababu zao binafsi ikiwemo kuchelewesha kwa barua za kiapo kwa mawakala wao wa uchaguzi. Pia watu wanawalaumu polisi kwa kutumia nguvu kubwa kuzuia maandamano hali iliyopelekea kujeruhiwa kwa watu pamoja na kifo cha mwanafunzi. Ushauri wangu mimi naona busara zingetumika kwa rais kukaa meza moja ya majadiliano na CDM ili kujua wanataka nini. Lasivyo huko tunakoenda ni kubaya zaidi ya hapa tulipo sasa maana hakuna jambo baya kama chuki, watanzania tunasifiwa kuwa na amani lkn sisi tunachuki siku watu wakipata pakuanzia ndio utakuja kuyamaani maneno yangu.
 
Back
Top Bottom