Si kila mwanamke anafaa kuolewa

Si kila mwanamke anafaa kuolewa

Hili jambo liko wazi sana na linafahamika siku nyingi kama hadithi za alfu ulela, sio kila mwanamke ni mke na sio kila mwanamme ni mme.
 
Hili jambo liko wazi sana na linafahamika siku nyingi kama hadithi za alfu ulela, sio kila mwanamke ni mke na sio kila mwanamme ni mme.

Kilaka lakini hali imezidi kuwa mbaya sana kipindi hiki
 
Wengine wanafaa kuoshewa rungu na kusepa eeeeetiii
 
Kwa kweli wadau sio kila mwanamke anaevaa sketi basi anapaswa kuolewa .

Wanawake wa kipindi hiki wamekua wabinafsi wanaojijali wenyewe na familia zao tuh yaan mama , baba yake au wadogo zake tuh . Na kutowajali ndugu wa upande wa mume wake . Hivyo kupata mke mwema ktk dunia ya sasa ni vigumu sana na kama mwanaume hautomtosheleza kimahitaji huyo mkeo basi ujue utaibiwa tuh maana atatafuta mbinu mbadala ili atimize hitaji lake .


Naomba kuwakilisha wana JF.

Wanawake wapo wengi tu, tatizo ni kwamba unahitaji kupata background yake ya uhakika, Unaangalia maadili ya mwanamke. Sasa unakutana na mwanamke stendi ya daladala unaomba namba, umegegeda mwezi mmoja, unaona umepata. Unaamua kuoa, mwanamke wapo wazuri sana na wenye sifa zote na hadhi kupata mume anayefaa kwa ndoa.
 
Jestina tatizo lilopo kipindi hiki wanawake wamekua wanapenda pesa yaan hamna penzi la kweli na tatizo lililopo ni kwamba wamekua na ubinfsi wa kupendelea kwao tuh na ndugu zake

wala tatizo sio wanawake kupenda pesa burtonr, pesa zipo kwaajili yetu tangu zamani zile(tena zilizotafutwa na mwanamume). Tatizo ni ninyi wanaume mmekuwa wavivu sana katika kufikiri,kubuni na kutambua namna mbalimbali ili kuondokana na hali ngumu ya maisha inayomkabili kila mtu hapa duniani, na kwakuwa mwanamke by nature hakuumbwa kuwa mtafutaji ikimaanisha wakumtafutia n mwanaume na ndo hao uvivu unazidi kuwaelemea mnabaki kulalama wanawake wanapenda pesa lol.!, shame on you men.. Pambana upate pesa unazotakiwa kupata kiuhakika uone kama utagundua kuwa mwanamke wako anapenda pesa.. 'FUMBUKENI MEN..'
 
Munajifariji tu. mwanamke ni kijundudu ambacho kipo kipo tu kwenye jamii wala hakijui kinatoka wapi?? kinakwenda wapi???

Pole Shy land kwamba nawe ni muhanga wa uvivu na uzembe. Na nyie ndo mnaoendelea kutuletea shida hapa dunian lol
 
Pole Shy land kwamba nawe ni muhanga wa uvivu na uzembe. Na nyie ndo mnaoendelea kutuletea shida hapa dunian lol

wakati naandika ile comment nilijua tu, hamtakosekana watu wakunizodoa, kama kweli munajiamini kwa nini unahitaji kudhaminiwa na kupewa maneno mazuri kutoka kwa me!
 
wakati naandika ile comment nilijua tu, hamtakosekana watu wakunizodoa, kama kweli munajiamini kwa nini unahitaji kudhaminiwa na kupewa maneno mazuri kutoka kwa me!

Swala la kujiamini au kutojiami ni tabia ya yeyote yule. Tena wala si maneno mazuri tuu ni mpaka vitu vizuri. Huezi kubadili asili kwamba mnatakiwa mtuhudumie tena ipasavyo. Tatizo mmekuwa wazembe.
 
Swala la kujiamini au kutojiami ni tabia ya yeyote yule
tabiya ya yoyote sawa isikupokuwa mwanaume.
Tena wala si maneno mazuri tuu ni mpaka vitu vizuri.
kwa nini sasa Munahitaji vitu vizuri huku mnasema mwanamke anaweza
Huezi kubadili asili kwamba mnatakiwa mtuhudumie tena ipasavyo.
wanawake wakileo ni janga la kitaifa nyie ndio munaosabibisha kubandili tamaduni kwa kingezo cha women liberation
Tatizo mmekuwa wazembe.

mwanamke ni chanzo cha mwanaume kuwa mzembe
1, mnakaa uchi na matiti yenu yako nje nje! mwanaume atasimamisha kwenye suruali hadi bamia inaumia

2, upatikanaji wa papuchi ovyo ovyo hata kwa tsh500, unapata ndio sababu
 
kwa kweli wadau sio kila mwanamke anaevaa sketi basi anapaswa kuolewa .

Wanawake wa kipindi hiki wamekua wabinafsi wanaojijali wenyewe na familia zao tuh yaan mama , baba yake au wadogo zake tuh . Na kutowajali ndugu wa upande wa mume wake . Hivyo kupata mke mwema ktk dunia ya sasa ni vigumu sana na kama mwanaume hautomtosheleza kimahitaji huyo mkeo basi ujue utaibiwa tuh maana atatafuta mbinu mbadala ili atimize hitaji lake .


Naomba kuwakilisha wana jf.


kila mwanamke anamwanaume wake anayemfaa na kila mwanaume hivyo hivyo ana mwanamke wake anayemfaa.
Hakuna mwanamke anayemfaa kila mwanaume na hakuna asiyemfaa kila mwanaume hivyo hivyo kwa wanaume pia.
Hivyo basi kila mwanamke anafaa kuolewa na mwanaume anayemfaa.
 
Kama mliunganishwa kwa upendo wa dhati kwa hakika mtakuwa pamoja kwa kila hali kwani nyoyo zenu zitakuwa moja na zenye lengo moja...lakini kama mliunganishwa kibiashara lazima kila mmoja aangalie maslahi yake....
 
nimegundua kitu haaaapa???!
wanawake/wanaume wanaoonekana kuwa na tabia njema na wanafaa kuoa au kuolewa wanaigiza nakuficha tabia zao ndio maana kundi hili teule kwa maana yakufaa kwa ndoa linarudisha majibu mabaya kwa ambao hawajaingia kwenye ndoa kuwa ooooh wanawake wa sasahivi hawafai kuoa, wanaume wa sasa hivi wasikuoe kabisa.

kuwa makini sana na me/ ke anayekuonyesha mazuri tuuu yeye sio binadamu ? heri mtu ambaye anakuonyesha kabisa weakness zake uchague mwenyewe utaweza au laaa
 
Back
Top Bottom