King's daughter
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 690
- 198
Munajifariji tu. mwanamke ni kijundudu ambacho kipo kipo tu kwenye jamii wala hakijui kinatoka wapi?? kinakwenda wapi???
Including you! hujui unatoka wap? ulipo unapoenda na utakapoishia.Kwani wewe ulizaliwa na ng'ombe?? basi katafute kundi lako.Na kama ulizaliwa na mwanamke nawe pia ni mdudu wa ajabu mwenye kipaji cha kunena.MTOTO WA MDUDU NI MDUDU MWENYEWE!!!