Martine Tibe
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 221
- 156
Yaani unaweza kuombwa hela kila wiki ,Noma sana yani . Na inakubid uwajibike tu no way out
Yaani unaweza kuombwa hela kila wiki ,Noma sana yani . Na inakubid uwajibike tu no way out
Nikiendelea kuvumilia haya mambo yake huenda mimi nikatangulia kufa nikamuacha yeye na radhi yakeUsje muuliza anweza akakuachia radhii.....vumilia tu mkuu
Bora wazazi hawaombi Sana ndugu sasa ni balaa Yaaan . Kila wiki wakt na yeye anafamilia yakYaani unaweza kuombwa hela kila wiki ,
Hapana mkuu, hawa wazee wetu ukiwadekeza watakirithisha umasikini wao, do what is right mbele za Mungu, usifanye kuwaridhisha binadamu wakati moyoni una manung'uniko, hata Mungu utakuwa unamkosea.Noma sana yani . Na inakubid uwajibike tu no way out
Daaah mwana ww vumilia tu . Mimi Kun ndugu wanaomba kila wiki wakt wanafamilia zaoNikiendelea kuvumilia haya mambo yake huenda mimi nikatangulia kufa nikamuacha yeye na radhi yake
Hela yenyewe buku tano?..wewe mpe tuYaani unaweza kuombwa hela kila wiki ,
Yaani hatari Sana , vp ww swala la ndugu mbali na wazaz wako. Huombwi kila wiki ?.Hapana mkuu, hawa wazee wetu ukiwadekeza watakirithisha umasikini wao, do what is right mbele za Mungu, usifanye kuwaridhisha binadamu wakati moyoni una manung'uniko, hata Mungu utakuwa unamkosea.
Weweeeeee anakutumia orodha yaan kila shida kwako . Unampa pesa ya kitega uchumj lkn akishapokea bajeti inabadilika anaanza kukwambia niliona nifanye hv Mara hiv . Yaan hasira znakpnda mpka basi .Hela yenyewe buku tano?..wewe mpe tu
Naona mnatafuta ku justify Mambo ya wazungu ya kuwapeleka wazazi kwenye vituo vya wazee. Sio utamaduni jamaa, walee wazee wako kulingana na uwezo wakoSiyo lazima, siyo jukumu, ni wajibu tu kama ukitaka
Hatujakataa, mwana JF lkn wngne ndugu wanataka ulazimaNaona mnatafuta ku justify Mambo ya wazungu ya kuwapeleka wazazi kwenye vituo vya wazee. Sio utamaduni jamaa, walee wazee wako kulingana na uwezo wako
Kinachonisaidia ndugu sikuwaga na mazoea ya kuwatembelea since nikiwa mdogo, hicho kimenisaidia sanaa.Yaani hatari Sana , vp ww swala la ndugu mbali na wazaz wako. Huombwi kila wiki ?.
Hata Kama walikuwa na tabia hizo, Kama una uwezo watunze wazee. Hakuna pride yoyote wewe upo unatumbua na Malaya wazee wako wanaombaomba kwa majirani au wanasaidiwa na watoto wa jirani kuchota maji.I hope I die surrounded by the people who love me. Unakufa unaona sura ya nesi amekukunjia sura!!!
Halafu charity begins at home, kama mzazi wako mwenyewe huwezi kujitolea kumtunza uzeeni utasaidia wahitaji wowote kwenye hii dunia kweli!
Sema tu watu hawana mahusiano mazuri na wazazi wao, labda wazazi walikuwa too controlling, too demanding, too judgmental, they were absent parents etc, otherwise sio rahisi kuwaza unavyowaza kuhusiana na mtu unayempenda.
View attachment 2040637
Hata mm baadh ya ndugu siwajui lkn wao wananijua. Maana wakienda home wanapewa namba . Hapo mm huwa sitoi hela . Lkn madogo duuuhKinachonisaidia ndugu sikuwaga na mazoea ya kuwatembelea since nikiwa mdogo, hicho kimenisaidia sanaa.
Ila ndugu wa damu mizinga iko palepale, hasa ndugu wa kiume (mabroo).
Ila mimi nina formula 1, ukiniambia nikopeshe nakukopesha fresh kabisa, sasa ukijisahaulisha basi ndio ticket ya kuepuka mizinga.
Siku ukiniomba sikupi ng'oo hata iweje, labda iwe ni shida ya kiafya ama tatizo kubwa linalohitaji msaada kweli, ila sijui nina kinyumba changu nimekwama nipe 300k nitakurudishia sikupii.
…..
Ikitokea hivyo basi ni wao tu na Huruma zao waamue kunitunza mimi mzee ambae pengine nilishindwa kujiwekea Akiba ujanani kwangu.
….wale utakao kuwa nao kwenye Shida na ata Raha ndio Ndugu zako wa kweli shikana nao.
(nikizeeka) siyo jukumu lako kunitunza, kuna walionileta ndio ulikuwa wajibu wao, labda ufanye tu kwa wema wako ila sio wajibu wala jukumu.
Watoto zetu wanamajukumu mengi, wana familia zao za kuwalea tusiwatwishe mizigo mizito ya kuwaelemea.
Tujiwekee Akiba ujanani mwetu, tujiwekee akiba, tuache kula ujana tu kwa kutegema watoto watakulea.
Jiwekee akiba, hakika hautokuja kujuta
Ni Faraja tu ndio kitu kiwe cha kuomba ukizeeka.
Cc Zero IQ.
Mkuu inawezekana umri wako ni mdogo, hii hoja yako wala sio nzuri. Kama unawalea wakiwa wadogo,ukiishiwa nguvu watakulea pia. Pesa haifanyi kila kitu uyajue hayo kwanza. Lakini sio kila mmoja anaweza kuweka akiba za kumsaidia uzeeni, mtu akiba yake amewalelea watoto wake,wengine wamesomeshwa hizo zote ni akiba, mtu angezitumia uzeeni, tukifuata mtazamo wako ni kwamba ukizaa tu uondoke umwache mtoto usimlee kwa kuwa sio jukumu la mzazi, jukumu la mzazi ni kumleta duniani tu.Pesa zitaajiri mtu wa kukuhudumia, tafuta pesa jiwekee Akiba Zitakutunza ukizeeka.
Acha watoto watunze familia zao, kitu pekee cha cha kuomba kwa wanao ukizeeka ni faraja yao pekee.
Pesa itakutunza lakini haitakupa faraja wala utulivu. Watoto ndiyo!!Pesa zitaajiri mtu wa kukuhudumia, tafuta pesa jiwekee Akiba Zitakutunza ukizeeka.
Acha watoto watunze familia zao, kitu pekee cha cha kuomba kwa wanao ukizeeka ni faraja yao pekee.