viongozi wa ccm wakishapata madaraka hawataki kujichanganya tena na wananchi...hii imenishangaza
Ebwana mwenyeweHuyu siyo Shyrose Banji?
Mimi ningetetemeka na kushindwa kuendesha maana kijoto cha hapo sipati picha, tena ningemuambia nishike kiunoni ili asianguke muheshimiwaKwahiyo mwendesha boda walau amefaidi kiasi chake joto,harufu ya pafyumu naaa...
Hii kusema ukweli na mimi ilinitokea December 8 2011, siku moja kabla ya maadhimisho ya Uhuru, nilifika uwanjani kaunta zikiwa zimefungwa bahati yangu nilikua mgeni mwalikwa na Go Uganda, Rubani akapigiwa simu nikawahi lakn ilikua nimeshafeli tayari
View attachment 165818
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mhe Shyrose Bhanji akiwahi uwanja wa ndege kwa Bodaboda baada ya kukwama masaa kadhaa barabarani kutokana na foleni kubwa aliyokutana nayo akiwa mitaa ya Mikocheni jijini Dar es salaam
Source: Issa michuzi blog
ni nafuu kuliko bodaboda