Shy-Rose Bhanji Ajitetea

Shy-Rose Bhanji Ajitetea

Mi naona mawenge tu, Shyrose huwezi kukanusha tuhuma bila facts, hiii tabia ya wananionea wivu haiuzi, tuambie ni nani, maana hapa tayari nimeona watu wanaanza kufikiria ni wanyarwanda, mi siamini hawa watu hawana time na majungu wako busy kujenga taifa lao, ni watanzania wenzako? maana ndio mabingwa wa kutumiwa leo hii tunaona myemeni anapewa ubalozi na rais wako aliyekupigia kampeni wewe, sasa hatutashangaa kama nafasi yako anataka kumpa myemeni mwingine ili apate pocket money kama ile ya wale wayemeni wanaofanya ujambazi wote hapa mjini bila kizuizi chochote
 
Shyrose Bhanji endelea kuchapa kazi na usiogope wahuni. Pole zao wanyarwanda na wakenya wanaohemea ardhi ya Tanzania. Keep it up mama.
 
Hapo ni blaha blaha tupu! Kwa nini aambiwe yeye tu na sio wabunge wengine wa tanzania?

Huyo Dada Sura Yake Tu Imekaa Kimatatizo Je Mnategemea Nini? Vitu Vingine Siyo Vya Kuvipotezea Muda! Nilikwisha Mdharau Siku Nyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..............ingi.
 
Sawa mimi sina tatizo na maelezo yake ila hajajibu shutuma zile za jana, kwa mfano:

Ni kweli mlienda hiyo safari?

ulikuwa na nani katika msafara wenu huo?

Nini kilichojili wakati wa safari hiyo? mkiwa angani na baada ya kufika?
Kwanini umeziamini tuhuma ambazo zinaweza kuwa za kufikirika? Kwangu mie yule aliyemtuhumu angenitoa wasiwasi wa alichokituhumu kama angeweka japo picha ikimuonyesha yupo kwenye ndege amefungwa pingu au hata amelewa au hata anagombana na mhudumu. Nyie mnataka mtuhumiwa ndo atoe ushahidi badala mngedai ushahidi kwa aliyeleta tuhuma. Kwa hali ilivyo wote wametoa tuhuma na utetezi tusioweza kuukataa au kuukubali. Lakini, sioni sababu ya nyie kuamini tuhuma na kuukata utetezi wake. Historia yake haiwezi kuwa sababu ya kuamini kuwa tuhuma ni za kweli.
 
Kuna mwendesha semina mmoja pale Mlimani City alikazana kuwaambia wanasemina wake "MNAPASWA KUWAZA NJE YA BOX".....Mmoja wa wanasemina alikerwa na kurudiwa rudiwa kwa kauli hiyo, akamuomba mseminishaji aeleze nini maana ya kuwa ndani ya box, nini maana ya kuwaza nje ya box na kwa namna gani mtu anawaza ndani au nje ya box...!! Bahati mbaya mseminishaji alishindwa kutoa ufafanuzi...kwa lugha nyepesi ailonekana kakariri msemo huo bila kuuelewa..macho_mdiliko ebu anzisha uzi mhususi utoe mhadhara juu usemi huo-KUWAZA NJE YA BOX

Wewe mwenyewe hapa tayari umewaza nje ya box kwa wazo lako hili zuri ndugu.
 
Hizi ni tuhuma ambazo hazijathibitishwa, na anaetuhumiwa hajathibitisha utetezi wake, kama ni wa kweli au anafanya kile wanachofanya wakosaji wote, kukana mashitaka hata kama wamekosa hata kama ameiba. Nadra sana mkosaji kukiri kosa mbele ya umma au vyombo vya dola.

Mtoa tuhuma alipaswa kuweka support ya tuhuma zake, kama video picha za mnato au mmoja watu wawili wengine waliyokuwa katika ndege hiyo kutolea maelezo ya kuunga mkono tuhuma hizi. Kwani hawakuwa hao wawili tu, pia hao watu aliyokuwa anazozana nao japo mmoja angekuja humu ndani athibitishe tuhuma hizi.

Nae mtuhumiwa katika ndege hiyo na huko kwote anakodaiwa kufanya fujo hakukuwa na hao Wabunge Watanzania wenzake, au hata Mkenya au Mganda anaeelewana nae aliekuwepo ndanda ya ndege hiyo ambaye hakuona hata chembe ya tuhuma hizi anazotuhumiwa mdada huyu akazikanusha yeye badala ya kusimama mwenyewe peke yake kukanusha?

Kwa nini Wabunge Watanzania na rafiki zake wamekaa kimya kwa siku zote hizi wakati mwenzao mpambanaji anachafuliwa hivi?

Kama ni kweli mama huyu katengenezewa zenge hili na hakuna ukweli wa hata asilimia 2 na kutupwa hadharani kiasi hiki, je ina maana wabunge wote wa Tanzania katika Bunge hilo hawaingii katika mitandoa ya jamii au wote wanafurahia kuchafuliwa kwa huyu mwenzao kwa tuhuma ambazo hazina ukweli hata asimilia 10 kama anavyotueleza mwenyewe mtuhumiwa?

Utetezi wa kwamba, angefikishwa polisi au angechukuliwa hatua au hata kukosekana kwa picha unaweza usiwe na msingi, kwa sababu, Huyu mama hakuwa mtu wa kawaida ni Mbunge tena wa Bunge kubwa la AFRIKA MASHARIKI lazima ana hadhi yake na ana sheria zinazomlinda tofauti na mtu wa kawaida kama ilivyo kwa mabalozi wa nje.

Hivyo hivyo, inawezekana kabisa katika ndege hiyo pamoja na yote hayo wabunge wenzake wakamhifadhi kwa heshima na taratibu za shirika hilo la ndege juu ya upigaji picha na kanuni zingine uwapo katika safari zao.
 
Sawa mimi sina tatizo na maelezo yake ila hajajibu shutuma zile za jana, kwa mfano:

Ni kweli mlienda hiyo safari?

ulikuwa na nani katika msafara wenu huo?

Nini kilichojili wakati wa safari hiyo? mkiwa angani na baada ya kufika?

Acheni wivu , watu wanamuonea yule mama mchapa kazi balaa na ana nyota inawaka.
 
Hata mimi nilishangaa hakutiwa mbaroni aliposhuka airport na wala hakuna chochote cha usalama kiliripoti tukio hili.
 
Mtu akichaguliwa kutoka CCM anakuwa na viwango vya kutosha. Safi sana Dada kwa kuja kukanusha. Keep it up...Mungu yuko upande wetu
 
Kuna watu by nature wana wivu sana na huyu Dada. Hasa hasa vijana wa bavicha..
 
Unasema wewe ni mbunge wa Tanzania sawa lakini kutokea wapi Tanganyika au Zanzibar maana tunaona ya meghji
 
Bunge la EAC likimkosa huyu Mwana mama Tanzania itapoteza maslahi yake.tunaweza kuisainishwa mkataba wa kuwa koloni la Rwanda na Kenya.Mimi namuunga mkono Shy rose ila ajitathmini mapungufu yake,kuna siku watakuja kutumia udhaifu wake kumdhalilisha ili awe mpole ktk maslahi ya TZ.Ajue ametangaza vita kubwa sana anapokuwa mstari wa mbele kupinga hoja za Rwanda na Kenya.
 
Yani mnamsulubisha Mtanzania mwenzenu bila hata kuwa na ushahidi wakati anaitetea Tanzania?!

Alipokuwa analewa na kubwabwaja hovyo ndo kuitetea TZ?
Kwani lazima kumtetea kila Mtanzania hata yule asiyejua kujiheshimu?


Soma maelezo ya mdau ;post #88

Kusema kuwa "nakanusha kwa nguvu zote" huo sio utetezi.
Atoe utetezi wa maana; atafute wabunge wenzake wa TZ hata Uganda waliokuwa safari moja waweze kusapport anachokisema, vingenevyo utetezi wake bado hauna nguvu.
 
Tatizo hujielewi na wala hujui unatetea nini.Hapa kinachojadiliwa siyo kunywa pombe.Hoja ni kwamba kwa status aliyonayo hapaswi kufanya hayo ayafanyayo ilhali akiwa anapeperusha bendera ya Tanzania.Maana aibu inalikumba taifa na wala siyo yeye kama yeye.Kama hujaelewa mpaka hapo basi wewe akili yako ni kama ya MADENGE.

Anayoyafanya yapi?mmeambiwa mlete ushahidi hapa hata wa picha mmeshindwa kwa nini tusiseme Ni majungu? Hivi kweli mtu awatukane marais alete fujo kwenye ndege mpaka afungwe pingu asihojiwe hata Na polisi hiyo inawezekana kweli? Ndio maana Mimi nasema Ni wivu Na chuki zisizo namsingi hakuna kingine.
 
Huyo Dada Sura Yake Tu Imekaa Kimatatizo Je Mnategemea Nini? Vitu Vingine Siyo Vya Kuvipotezea Muda! Nilikwisha Mdharau Siku Nyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..............ingi.
Ha ha ha ha unamdharau mtu ambaye hakujui mkuu
 
SAWA ILA KUHUSU MTUNGI VIPI? INALETA SURA GANI KWA NCHI YETU?
SHYROSE KUNA WAKATI NILIPIGA NAE TUNGI BALAA,NI MIAKA YA NYUMA KIDOGO WAKATI HUO ALIKUWA ANA RAV 4.
KIMSINGI TULIZIMIKA ILA ILIKUWA NI BAADA YA KAZI.
SASA KAMA HATA WAKATI WA KAZI ANAZIMIKA KAMA VILE NIJUAVYO ITAKUWA NI BALAA KUBWA.DAAAA MAMAAAAA
KAMA VILE NAMUONA ATII.
A%20S-smoking.gif
A%20S-smoking.gif
ILA SI MCHOYO ATA FEGI TUNAGONGEANA.
 
Back
Top Bottom