SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,971
- 75,050
Halafu baada ya kummeza huyo kiumbe,pata na hii kitu mbona utaona Bongo zaidi ya peponi.
![]()
Bila ya shaka yule jamaa anayeimba kamata chini kamatia chini madhabahuni akiona hii kitu mate yanamshuka tu.