umenikumbusha pale mtemi anawaambia walinzi wake wamkamate mtu ambae wao hawamuoni........kiheee kuduhuMTEMI ndio baba yao
Daa naipenda sana Ile movie ya safari ya zamani sijui wameact pangoni kuna chiku na kaka ake sijui aitwa nani yule kaka
Kapili
Aalitisha sana Sultan Tamba.Mara ya kwanza baada ya kuiangalia chite ukae home umeme ukikatika tu mida ya night palikua hapakaliki duh! enzi hizo VHS tape. please Sultan Tamba rudi uwakalishe hawa wapya wasiojielewa jamani.