Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,335
- 3,902
shumiletaWameiga muvi ipi ?
shumiletaWameiga muvi ipi ?
Umeiba post yangu hizi ndo muvi bora kuliko zote zimewa kuchezwa bongo na haitakuja kuchezwa hadi mungu anakusanya haya mavumbi yake hata hao waliocheza hizo baadhi yao walishindwa kumalizia part to kama chite ukae na mzim wa mzee mlilo na waliojarib walifel kwenye continuty na location casting na directionKuna izi kaburi la safia,Mzimu wa mlilo,chite ukahe dah kwa jiran palikuwa hapatoshi
Scard za toch???Shumileta na Nsyuka ni muvi za karne zenye visa visivyochosha kutazama ,hakika ni muvi za karne bongo hawataweza kutengeneza muvi kama hizi teeeeeena
Sultan Tamba na Musa Banzi rudini bhana mtuletee vitu vitamu kama hivi
View attachment 447462
View attachment 447464
Movie inaitwa Safari ilikuwa inamzungumzia mtu na Dada yake Chiku na KapiriKapili anaitwa
Jully Tax anatisha zaidSultan tamba kwa movie za kichawi hanampinzani bongo
we dada hii movie nitaipata wapi kwa sasa? one of the best bongo movie everrrrrrDaa naipenda sana Ile movie ya safari ya zamani sijui wameact pangoni kuna chiku na kaka ake sijui aitwa nani yule kaka
Ukitazama kwa jinsi teknologia ilivyokuwa leo itaziona ni za kawaida tu. Ila kwa kipindi kile zilikuwa ktk ubora na utaalam wa hali ya juu. Ila return of Nsyuka walizingua, teknologia ilishakuwa ila wao wakaendelea na ile teknologia ya zamani. Mfano ulemavu wa mguu, mguu unafungwa kwa nyuma huku mhusika akivaa suruali pana panaZa kawaida tu,, sema nyakat zile zilionekana ni bora
Anaitwa KapiriDaa naipenda sana Ile movie ya safari ya zamani sijui wameact pangoni kuna chiku na kaka ake sijui aitwa nani yule kaka
Shumileta na Nsyuka ni muvi za karne zenye visa visivyochosha kutazama ,hakika ni muvi za karne bongo hawataweza kutengeneza muvi kama hizi teeeeeena.
Sultan Tamba na Musa Banzi rudini bhana mtuletee vitu vitamu kama hivi
View attachment 447462
View attachment 447464
Shumileta naikubali sana, kipindi hicho tulikuwa tunaangalia kwenye vibanda vya kulipia...
Sh 50/= muvi 2...
....badae baada ya kaka yke kufanikiwa, chiku akamuua kwa kumuwekea sumu kwnye chai...si ndo hii chief!!?Daa naipenda sana Ile movie ya safari ya zamani sijui wameact pangoni kuna chiku na kaka ake sijui aitwa nani yule kaka