Shule zilozoongoza matokeo kidato cha nne 2012/2013

Shule zilozoongoza matokeo kidato cha nne 2012/2013

Julius makamba ya pale makuburi karibu na jeshini haipo?? Haiwezekani

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sio Julius, ni Yusufu Makamba, kila mwaka inakuwepo kwenye kumi bora kutoka chini.
 
Zile Seminary zetu za majina ya Ki-pakistani azipo..
l

Zipi!?? Al-khula seminary, Al-baba v seminary nini!?? ndo unazozisema tedo..??, Na ile Al- Chimbuvu.... seminary je??
 
Last edited by a moderator:
hahaha xul zenye majna ya viongz haziwez kuongoza kama viongozw wenyewe wacvyoweza kuongoza
 
1. J.Kikwete sêc school.
2. Pius Msekwa sec school,
3. Kambarage sec school,
4. Ben mkapa sec school,
5. Yusuph makamba sec school,
6. Salma Kikwete sec school,
7. Jose mungai sec school,
8. LowerSIR sec school,
9. Mizengo sec school,
10. St. Anne makinda sec school

Mkuu naona hii ya Nape Nnauye Sec School umeisahau yenyewe imeshika namba 11
 
Mwigulu high school klimatinde singida
 
hizi zimefulia mbaya dah
q.dr slaa high school
2.mbowe girls
3.halima mdee junior sec
4.zito seminary
5.mnyika vocational sec
6.lissu boys
7.sugu musical sec
8.nasari bording schools
 
Mkuu naona hii ya Nape Nnauye Sec School umeisahau yenyewe imeshika namba 11

Hivi iyo shule ipo kule kusini karibu na maeneo ya gas iliyogomewa na wananchi kwenda dar?
 
hizi zimefulia mbaya dah
q.dr slaa high school
2.mbowe girls
3.halima mdee junior sec
4.zito seminary
5.mnyika vocational sec
6.lissu boys
7.sugu musical sec
8.nasari bording schools

Mkuu,iyo ya sita hapo nasikia inaongoza kwa vurugu!nadhani vurugu zimetokana na madai yao kutoshugulikiwa kwa mda mrefu sasa.
 
Back
Top Bottom