idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
Mleta mada hapa umechemsha, maana tangu nikiwa mdogo ili
kuwa siku akija kiongozi wa serikali lazima tusimamishe masomo twende tukamshangilie. Mwaka tisini na tisa, Nyerere alipofariki vivohivyo tulitolewa madarasani tukapelekwa barabarani ili kupungia msafara wake. Hivyo mi sioni shida yoyote kwa wanafunzi hao kwenda kwenye kesi.
kama Ponda mnamheshimu mwingizeni kwenye kalenda za sikukuu za kiisilamu...idi elftiri.idi elhaji,id eliponda,Ramadhani nk.!