Karibu na kwangu huko ahhh imekuwa hivyo hiyo shule ya msingi? Ee Mwenyeezi Mungu tupatie viongozi wanaopenda Wananchi wao walala hoi hii nchi inakwenda Hovyo hovyo mradi kukuche tu ahhhhhhhhhhh Mbuzi MzeeHII NI SHULE YA MSINGI TANDALE DAR ES SALAAM
JIONEENI WENYEWE
Watoto wanacheza au sijui ndo nini kinaendelea
Ikiwa shule hii ipo mjini Dar ambapo ni makao makuu ya serikali kuanzia magogoni mpaka wizara zote vipi huko Ufipa na Mbwemkuru kuko hali gani kwani huko hata usafiri ni wa msimuHII NI SHULE YA MSINGI TANDALE DAR ES SALAAM
JIONEENI WENYEWE