The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,597
- 3,508
Wanajamvi kwema
Moja kwa moja niende kwa mada.
Kuna sehemu nimeona hii mada inasema hivi
“Kati ya shule za mjini na shule za vijijini ni wapi wanafunzi wanapitia changamoto nyingi sana”
Toa maoni yako na sababu.
Moja kwa moja niende kwa mada.
Kuna sehemu nimeona hii mada inasema hivi
“Kati ya shule za mjini na shule za vijijini ni wapi wanafunzi wanapitia changamoto nyingi sana”
Toa maoni yako na sababu.