Shule za bweni 90s na bata za madisco

Shule za bweni 90s na bata za madisco

PintoG

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2017
Posts
612
Reaction score
732
Tukumbushane kama wewe ulisoma bweni miaka ya 90 hadi 2000.

Shule zilikuwa na burudani sana na kitabu pia kilipigwa hasa. Ila uzi huu ni maalumu kukumbushana burudani za mziki na hata mpira

Kipindi hicho ilikuwa inaruhusiwa kupigwa disco mpaka asubuhi Disco hasa zilipigwa wakati wa sherehe za kidato cha nne na sita, ama pale shule zinapotembeleana kwa ajili ya debate mchana usiku disco kwa boys vs girls school,

Binafsi nilikuwa naenjoy sana kwenye moment ya kufungua disco, nakumbuka tulialikwa shule moja ya Nganza sec school wakati wa mahafari ya form 4, nilikuwa kwenye list ya kufungua mziki... Dj akaweka kitu cha keith sweet...No body, dahh nilikamatilia mtoto mmoja mrefu white yaan....siyo kuchafuana boxer huko...ilikuwa baabu kubwa sana,

Mnaokumbuka style za kudamsh kipindi hicho..unapiga raba nike au rebook au Adidas... juu vest white au ya NBA no 23 mgongon, suluali unakunja kidogo mguu mmoja ... sasa ndani ya disco zile taa za blue full kung'aaaa.

Kiukweri bweni ilikuwa rahaaaa sana .... share trip moments gani unakumbuka
Ngoma kali sana kama hizi zilitamba sana huko

Dear mama
Keep ur head ring
Daz flex na.ngoma zao
Keep on keeping on
5 O'Clock
Big na ngoma zake
Lost boyz ngoma zao kama rising to the top nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Same boys mpo, kilimanjaro boys bila kusahau mrike intermational


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Boys na Girls (Tabora)...huku kukiwa na upinzani mkali kutoka kwa Milambo. Vita ya hizi shule mbili za wavulana, kwa ajili ya girls ilikuwa nzito saaaana!!
 
Boys na Girls (Tabora)...huku kukiwa na upinzani mkali kutoka kwa Milambo. Vita ya hizi shule mbili za wavulana, kwa ajili ya girls ilikuwa nzito saaaana!!
Hahaha... Hii tuliikuta na tuliiacha inaendelea. Milambo wazinguaji sana.
 
LL Cool J na do it
DAZ EFX na real hip hop

Mazengo Complex na Msalato Girls hapo.

SUKAH
 
Back
Top Bottom