Shule za bweni 90s na bata za madisco

Shule za bweni 90s na bata za madisco

Kigurunyembe Secondary Hostel kwa Brother John,.Ni mwendo wa kuruka ukuta maneno Bwalo la Umwema au Morogoro Hotel kitambo Shimoni.
 
Siyo miaka ya tisini(90's)
Nakumbuka tuko form six, Mimi na washkaji kadhaa tulivamia disko la welcome first year chuo fulani.
Mida ya saa 7 hivi tunarudi shule , ghafla pila mbili hizo zikaingia kwenye njia yetu, tumepigwa full light machoni askari kama kumi hivi wa patrol wakamwagika.

Ilikuwa mara yangu ya kwanza kwenda disko, kulala cello , kufukuzwa shule na kugundua kuwa mzee wangu ana uwezo mzuri tu wa kucheza mieleka.
Aisee!!

Sema, those were the good old days and I miss them. Adventure nilizozipata kwenye shule za bweni ningetamani mwanangu baadae azipate.
 
Mazengo Complex na Msalato Girls hapo.

SUKAH. Umenukumbusha mbali saana wakati huo boyz to men end of the road Yaani mama wee sasa hivi tumekua wamama. Mazengo complex Mazengo
 
Back
Top Bottom