KabisaaaaTukumbuke kumchagua JPM.
Hyo habari ya mwaka 2017.Sisi tuliosoma ualimu tukakosa ajira kwa miaka nenda rudi tukisikia habari kama hizi moyo unavuja damu, maumivu ni makali hàyavumiliki kabisa
2017 juzi tu, sidhani kama kuna mabadiliko yoyote ndg yangu.Hyo habari ya mwaka 2017.
We kama uli apply subiri majibu
Amen, utapata kwa uwezo wa Mungu2017 juzi tu, sidhani kama kuna mabadiliko yoyote ndg yangu.
By theway, nimejitolea, zikachukuliwa taarifa zangu zikapelekwa,
Baadae pia nika apply kwa OTEAS nasubiri japo sijui kama nitapata, nishakata tamaa kabisa na sijui nikikosa mwaka huu nitakuwa na maamuzi gani tena.(MUNGU nisaidie)