Shule yafungwa Dodoma, ilikuwa na walimu 3, wanafunzi 900, wengi walikua mbumbumbu

Pana alama ya Ban hapa mods mniache,halafu nani ameripoti wakati ni ukweli.
 
Uzi umekuwa stagnant kwa sababu source ni TBC
Jiulize ingekuwa TZ Daima au ITV nadhani wazir na press kutoka Magogoni zingekuwa zinapigana vikombo ....
Uviccm Njooni kuna uzi kutoka TV yetu Pendwa.

Bila elimu madhubuti viwander ni ndoto za abunuasi
 
Utasikia hao walimu na wanafunzi ni wauza ngada!!hii nchi hii
 
Cheki hii habari ya huko Dodoma.
Shule ya msingi Mbalawala iliyopo manispaa ya Dodoma imefungwa kwamuda usiojulikana na wazazi kutokana na kuwa na upungufu mkubwa wa walimu na wanafunzi kuwa mbumbumbu, shule hiyo ina wanafunzi 900 na walimu 3

Mtaji wa CCM ni wanachi mbumbu, mikoa iliyo nyuma kielimu kura 100% ni CCM mnataka nini zaidi, wapate elimu ilitukose kura, noway.
 
Cheki hii habari ya huko Dodoma.
Shule ya msingi Mbalawala iliyopo manispaa ya Dodoma imefungwa kwamuda usiojulikana na wazazi kutokana na kuwa na upungufu mkubwa wa walimu na wanafunzi kuwa mbumbumbu, shule hiyo ina wanafunzi 900 na walimu 3



Usikute hawa ni wanafunzi waliofukuzwa Dar kwenye mifereji na makaburini ili warudi kwao Dom. Walizoea kuomba omba Dar, akili zao zinawaza kuzurura mitaani si darasani. Kuna wanafunzi wengine walisikika wakiwatambia wenzao kuwa walikuwa matajiri Dar kwa kazi ya kuomba tu.
 
Hiyo ndiyo serikali ya hapa kazi tu. Ngoja tuone mwisho wake. Na hiyo ni shule 1 na sijui shule zingine.
NCHI IMESHAFIRIKA HII. HAKUNA LA MAANA. UHAKIKI NI KICHAKA CHA MWEHU KAIRUKI
hapo utasikia kichaa kamoja kanasema, walimu msipofaulisha tutawachongea vinyago au kuwapa adhabu. Tanzania ina safari ndefu kufika kweny uchumi wa kati itachukua takiriban miaka 900000 mbele
 
Cheki hii habari ya huko Dodoma.
Shule ya msingi Mbalawala iliyopo manispaa ya Dodoma imefungwa kwamuda usiojulikana na wazazi kutokana na kuwa na upungufu mkubwa wa walimu na wanafunzi kuwa mbumbumbu, shule hiyo ina wanafunzi 900 na walimu 3



TBC wachochezi sana, habarileo ndio wanaandika habari za kweli hao wengine makanjanja tu. elimu bure imefanikiwa 100%
 
cha ajabu zaidi hyo taarifa imetangazwa na TANZANIA BROADCASTING COOPERATION, sijui kama hata mhesh anaitizama hii channeli yake.
 
Back
Top Bottom