Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,762
- 5,276
Waturuki taratibu wanateka vizazi vya Watanzania kupitia shule zao. Hata Wakristo wanagombania kupeleka watoto wao shule za Kituruki. Mturuki anachukuliwa kama Mzungu Tanzania, lakini ukienda Ulaya anadharauliwa. Ulaya na Marekani ni Waislamu tu ndiyo wanapeleka watoto wao shule za Waturuki.