Shule ya Turkish Maarif School Arusha ni tatizo

Shule ya Turkish Maarif School Arusha ni tatizo

Waturuki taratibu wanateka vizazi vya Watanzania kupitia shule zao. Hata Wakristo wanagombania kupeleka watoto wao shule za Kituruki. Mturuki anachukuliwa kama Mzungu Tanzania, lakini ukienda Ulaya anadharauliwa. Ulaya na Marekani ni Waislamu tu ndiyo wanapeleka watoto wao shule za Waturuki.
 
Naona kila kitu unawasukumizia wanawake

Hata kweli kwenye sababu ya kuvunjika ndoa umeng'aka kimanga, ha ha ha ha.

Hivi huna pesa kweli umkubalie tu mke, utakuwa zwazwa hasaa.
Wakati mwingine Wanawake huwa wanakuwa na ushawishi wa kishetani....... mwanaume usipogangamala inakula kwako. Unakumbuka story ya Adamu na Hawa? Balaa la kwanza duniani lilianzia pale bustani ya Edeni.
 
Mh. Waziri,

Shule zimefunguliwa juzi, hii shule imekataa kupokea wanafunzi kwa madai hawajalipa ada. Wanafunzi waliotoka mikoani wanarudishiwa getini.

Nijuavyo mimi, wanafunzi hawajaingia mkataba na shule, bali tatizo ni mzazi na utawala wa shule. Nashauri kabla shule haijapatiwa kibali iwe inachunguzwa malengo yake. Hii shule ya Waturuki wana hujumu juhudi kubwa za serikali kukuza elimu.

Naomba Mh. Waziri fuatilia hii shule kwa karibu. Pia wananchi wanataka kujua waliwezaje kuchukua hili eneo na kilikuwa kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum. Eneo lilitolewa na serikali kwa minajili hiyo na sio biashara ya shule.
Umeandika mambo yasiyokuwa na maana.
 
Shule zote nchini zimefunguliwa jana, hii shule iko Ngaramtoni Arusha, inamilikiwa na Waturuki.

Viongozi wa shule wanawarudisha watoto kisa ni ada. Kuna watoto wametoka Manyara wamerudishiwa getini.

Wizara ya Elimu angalieni hii shule. Angalieni dhima ya mnaowapa vibali vya kuendesha shughuli za elimu hapa Tanzania.

Baadhi ya wazazi wameshalipa zaidi ya nusu ya ada ya mwaka lakini watoto wanarudishiwa getini. Siamini kwamba huu ni utaratibu mzuri.

Mtoto ana kosa gani?

Utawala unatakiwa kuangalia utaratibu mzuri na wazazi na sio kuwatesa watoto.
We mjinga so ulitaka wasidai Ada? Peleka watoto shule za Serikali kama huwezi kulipa ada
 
Waturuki taratibu wanateka vizazi vya Watanzania kupitia shule zao. Hata Wakristo wanagombania kupeleka watoto wao shule za Kituruki. Mturuki anachukuliwa kama Mzungu Tanzania, lakini ukienda Ulaya anadharauliwa. Ulaya na Marekani ni Waislamu tu ndiyo wanapeleka watoto wao shule za Waturuki.
wewe nae maarifa yako madogo sana.
Mbona hoja yako haina mashiko umeandika kama umekatwa kichwa.

Hujui unataka kusema nn.

Acha chuki ndugu.
 
Mkuu hiyo ni business sio institution ya kutoa elimu bure, hiyo ada ndio itaweza kutekeleza mahitaji muhimu ya mtoto na shule pia au wewe ukilipa nusu na mwengine akilipa yote utakuwa unawadhulumu wale waliokamilisha malipo.
Na bila shaka kila mwanafunzi anakuwa na budget yake.
 
Lipa ADA wewe....

1662504955500.png
 
Kwa zile tamthilia zao za Azam,siwezi kumpeleka mwanangu akapate hiyo Turkish maarifa maana jamaa Ni wambea na wafitini wabongo tukasome
 
Shule zote nchini zimefunguliwa jana, hii shule iko Ngaramtoni Arusha, inamilikiwa na Waturuki.

Viongozi wa shule wanawarudisha watoto kisa ni ada. Kuna watoto wametoka Manyara wamerudishiwa getini.

Wizara ya Elimu angalieni hii shule. Angalieni dhima ya mnaowapa vibali vya kuendesha shughuli za elimu hapa Tanzania.

Baadhi ya wazazi wameshalipa zaidi ya nusu ya ada ya mwaka lakini watoto wanarudishiwa getini. Siamini kwamba huu ni utaratibu mzuri.

Mtoto ana kosa gani?

Utawala unatakiwa kuangalia utaratibu mzuri na wazazi na sio kuwatesa watoto.
Ulifuata nini huko kama huwezi? Siku zote shona nguo kutokana na size ya kitambaa chako. Usiige vitu kwa kufurahisha jamii yako wakati huna uwezo ishi maisha unayoyamudu.
 
Waturuki taratibu wanateka vizazi vya Watanzania kupitia shule zao. Hata Wakristo wanagombania kupeleka watoto wao shule za Kituruki. Mturuki anachukuliwa kama Mzungu Tanzania, lakini ukienda Ulaya anadharauliwa. Ulaya na Marekani ni Waislamu tu ndiyo wanapeleka watoto wao shule za Waturuki.
Hueleweki...
Shida ni uturuki, uislamu au nini?
Watu wanatafta elimu bora mengine masononeko na udini baki nao wewe
 
Waturuki taratibu wanateka vizazi vya Watanzania kupitia shule zao. Hata Wakristo wanagombania kupeleka watoto wao shule za Kituruki. Mturuki anachukuliwa kama Mzungu Tanzania, lakini ukienda Ulaya anadharauliwa. Ulaya na Marekani ni Waislamu tu ndiyo wanapeleka watoto wao shule za Waturuki.

Kwa zile tamthilia zao za Azam,siwezi kumpeleka mwanangu akapate hiyo Turkish maarifa maana jamaa Ni wambea na wafitini wabongo tukasome
Msijisahaurishe FEZA SCHOOLS ni shule za Waturuki na ni shule bora kabisa huwa boys na girls zote zinaingia kwenye Top Ten ya O level results.
 
Shule zote nchini zimefunguliwa jana, hii shule iko Ngaramtoni Arusha, inamilikiwa na Waturuki.

Viongozi wa shule wanawarudisha watoto kisa ni ada. Kuna watoto wametoka Manyara wamerudishiwa getini.

Wizara ya Elimu angalieni hii shule. Angalieni dhima ya mnaowapa vibali vya kuendesha shughuli za elimu hapa Tanzania.

Baadhi ya wazazi wameshalipa zaidi ya nusu ya ada ya mwaka lakini watoto wanarudishiwa getini. Siamini kwamba huu ni utaratibu mzuri.

Mtoto ana kosa gani?

Utawala unatakiwa kuangalia utaratibu mzuri na wazazi na sio kuwatesa watoto.

Kweli wa Tanzania shida sana, kama huwezi si umpeleke kwingine, nani atalipa gharama za kuendesha Shule?
 
Msijisahaurishe FEZA SCHOOLS ni shule za Waturuki na ni shule bora kabisa huwa boys na girls zote zinaingia kwenye Top Ten ya O level results.
Mi naongelea tabia zao,nilizofahamu kwa kuangalia maigizo yao maana Mara nyingi kitu kinachoigizwa Sana na jamii fulani ndio uhalisia wao.Sivutiwi na lifestyle yao ya majungumajungu...
 
Mi naongelea tabia zao,nilizofahamu kwa kuangalia maigizo yao maana Mara nyingi kitu kinachoigizwa Sana na jamii fulani ndio uhalisia wao.Sivutiwi na lifestyle yao ya majungumajungu...
Tamthilia zinawaharibu sana wanawake, kwenye tamthilia unalishwa kitu madirector wanataka kukulisha.

Mfano kuna tamthilia za mapenzi unaweza kudhani jamii hiyo ndio mafundi wa mapenzi na wewe mpenzi wako hajui lolote wala hayuko romantic kumbe ukweli nyuma ya pazia wao ni full vimeo.
 
Back
Top Bottom