abagabo
Senior Member
- Jun 4, 2014
- 155
- 168
Mliosoma milambo kuanzia 2005+ hamjaiona milambo nyie. Ikizingatiwa kuwa siku hizi hata umri wenu ni mdogo kwani mnakuwa below 20. Milambo ilikuwa ni shule ya wanaume enzi hizo kuna watu wenye 26+. Sitosahau mgomo wa mwaka 2001 novemba 21 kuanzia SAA nne asubuhi. Mgomo uliopelekea kufungwa kwa shule na sisi sote kufukuzwa shule. Hiyo ofic ya h/master ilichomwa moto. Majubwa alikuwa na bar pale mbele ya shule nayo ilichomwa moto na bia zikamwagwa. Second aliitwa lwabukoba. Walambo ninaowakumbuka enzi hizo ni,
John France -klf (baadae alifukuzwa)
Keybodi
Majaliwa said (cbg
Binto
Hagai
Andrew mwakisu (chair
Pale mbele ya shule kuna jamaa alikuwa anachoma chips mihogo
Sikazwe
Katondola
Jubwa
Yote kwa yote mademu ya student centre. Kiufupi, sitasahau maisha ya tabora.
John France -klf (baadae alifukuzwa)
Keybodi
Majaliwa said (cbg
Binto
Hagai
Andrew mwakisu (chair
Pale mbele ya shule kuna jamaa alikuwa anachoma chips mihogo
Sikazwe
Katondola
Jubwa
Yote kwa yote mademu ya student centre. Kiufupi, sitasahau maisha ya tabora.