Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,445
Hii ndiyo Shule aliyosoma Baba wa Taifa!
Katika moja ya News za TV juzi niliona "ripota" wa mojawapo ya TV akiripoti kutoka Musoma na suala alilokuwa akilirusha hewani ni hali ilivyo katika Shule ya Msingi Mwisenge Mkoani Mara.
Majengo ya Madarasa yame-OZA to say the least na hali ya mandhari ni kama ilivyokuwa Tabata-Dampo.
Wakuu mtaanza kubandika kuwa mbona shule nyingi za msingi zipo hivyo tu!! lakini tukumbuke hii ni shule yenye "sifa" pekee ya kumfudisha Rais wa Kwanza wa Tanganyika/Tanzania ambaye tunamwita Baba wa Taifa kwa matiki hiyo nadhani ingestahili kuwa moja ya maeneo ya kihistoria yanayotunza "Museum/National Heritage Site"
Mh. Jaji Warioba upo? Mzee Butiku Nyerere Foundation kazi yake nini hasa?
Ahka!
Nachoka kabisa
Katika moja ya News za TV juzi niliona "ripota" wa mojawapo ya TV akiripoti kutoka Musoma na suala alilokuwa akilirusha hewani ni hali ilivyo katika Shule ya Msingi Mwisenge Mkoani Mara.
Majengo ya Madarasa yame-OZA to say the least na hali ya mandhari ni kama ilivyokuwa Tabata-Dampo.
Wakuu mtaanza kubandika kuwa mbona shule nyingi za msingi zipo hivyo tu!! lakini tukumbuke hii ni shule yenye "sifa" pekee ya kumfudisha Rais wa Kwanza wa Tanganyika/Tanzania ambaye tunamwita Baba wa Taifa kwa matiki hiyo nadhani ingestahili kuwa moja ya maeneo ya kihistoria yanayotunza "Museum/National Heritage Site"
Mh. Jaji Warioba upo? Mzee Butiku Nyerere Foundation kazi yake nini hasa?
Ahka!
Nachoka kabisa