wa mtizamo wangu ni shule za makanisa.
... ukaweka wazi kuwa ni shule za mikoa gani unatafuta ili kila aliye katika mkoa huo ambaye ni mwanaJF aweze kukupa data accordingly.
Kwa upande wa shule zenye mitaala ya nje ya Tanzania, International school of Tanganyika ni mojawapo.
Mwenye kujua zaidi kuhusu hii shule anaweza kusaidia.
Shule hizi zinatumia mtaala wa nje ya nchi?
Kwa mfano hapa Dar ni shule zipi nzuri?
Je kuna shule nyingine yeyote unayoijua yenye kufundisha kwa kutumia mtaala wa nje, na shule hiyo iko Dar, na inayochukua watoto kuanzia elementary school? Kwa ajili ya watoto walioanza masomo nje ya nchi na wanaotegemea kuendelea na masomo nje ya nchi hapo baadae.
Yeah its damn expensive. My son wanted to join Moshi International school for Diploma 1 (that is what we call form 5) its UDS 16800 per year for borders. So if you are looking for that kind make sure ya pocket is ,,,, u know!
No EPA money please!
ni bora pia kungalia makuzi ya mtoto kinidhamu, dini n.k
Angalau basi mtoto awe na hofu ya Mungu!
International School of Tanganyika Fees tu ni $10,500 per annum for early childhood (watoto ambao hawajafikia umri wa kuingia kindergarten).
Kwa upande wa shule zenye mitaala ya nje ya Tanzania, International school of Tanganyika ni mojawapo.
Mwenye kujua zaidi kuhusu hii shule anaweza kusaidia.
Duuu, kumbe data unazo tayari?
Huku peruzi kabla?
Ni rahisi kujua fees kupitia website, hakuna mwenye shule anayeandika kwenye website yake kwamba shule yetu haitunzi watoto vizuri.
Hapa JF kuna waliosoma hapo, wanaosomesha watoto wao au wa ndugu zao, wanaweza kuwa wanajua mengi zaidi. Ndio maana sikuandika 'mwenye kujua school fees ni bei gani ahabarishe' bali nimeandika 'mwenye kujua zaidi atuambie. '
Wanaosomesha watoto wao kwenye shule hizi, bahati mbaya hawawezi kuwa objective,...
.....Wazazi wa humu bana.
Maane,
Mie mtoto wangu Muislam je watampokea ktk hizi shule?
Accredited na CIS
-International School of Tanganyika(DSM)
-International School of Moshi(Kilimanjaro)
Sijui kuhusu hizi mbili kama ziko accredited na CIS au hapana ila zinafuata British Curriculum.
-Braeburn Schools Arusha(Arusha)
-St. Constantine(Arusha)
Kwa maoni yangu IST au ISM.