Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,196
- 13,186
Wakuu,
Najua kuna shule nyingi kwa hapa Tanzania. Kwa kuangalia matokeo tu naweza kuchanganya madawa.
Ninachotaka kujua, ni shule gani ina
Suala la gharama za masomo si tatizo japo ni muhimu kujua ili kulinganisha na ubora wa elimu inayotolewa.
Nitashukuru kwa mapendekezo.
Najua kuna shule nyingi kwa hapa Tanzania. Kwa kuangalia matokeo tu naweza kuchanganya madawa.
Ninachotaka kujua, ni shule gani ina
- walimu walio committed,
- mandhari nzuri ya kufundishia na kusomea
- bweni (si kutwa)
- Inaweza kuwa ya jinsia moja ama tofauti
- Maadili mazuri kwa walimu wake na wanafunzi ambapo nitampeleka mdogo wangu akasomea kwa amani na kuwa na busara
- performance yake inaridhisha katika mitihani iwe ni kwa kufuata mtaala wa Tanzania ama nje
- gharama zinazoendana na ufundishaji na malezi (na ni kiasi gani?)
Suala la gharama za masomo si tatizo japo ni muhimu kujua ili kulinganisha na ubora wa elimu inayotolewa.
Nitashukuru kwa mapendekezo.