Shule Nzuri ya Mchepuo wa Sayansi(PCB) Mikoani

Shule Nzuri ya Mchepuo wa Sayansi(PCB) Mikoani

Mwana Ilala

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2013
Posts
1,286
Reaction score
488
Hallo wana-Jf,

Nina mdogo wangu amefauli kidato cha Nne na kupangiwa Mchepuo Arts(HGK). Yeye binafsi anataka asomee Mchepuo wa Sayansi(PCB) kwani hata hiyo Combi amepasua Pia.

Ninaomba kujulishwa Shule Nzuri kwa Mikoani(sio Dar) iliyo na Mchepuo wa PCB ili aweze kwenda kupiga Buku kwani ndio masomo anayoyapenda. Pia sio Vibaya nikajua na gharama ya Ada na Address(Simu au Postal Address) kwa Shule utakayo nitajia.

Natunguliza shukrani.
 
mkuu we nenda website ya wizara ya elimu tafuta shule znazofanya vizur mchepuo huo then kila kitu utakipata.!!
 
Hahaha,jamaa unamkimbiza Dar?Siku hizi mikoani nako wamepinda
Inategemea Jinsia gani,zipo shule nzuri ila bora zaidi ni za jinsia moja
 
Angalia za private serikali kwa sasa ni uzushi
 
Natafuta za Private zenye Mchepuo wa sayansi(PCB) tafadhali nisaidieni.
 
take trouble nenda wizarani wana takwimu zinaonesha shule gani zinafanya vizuri kwa somo gani then chagua mwenyewe
 
boy kama huyo ni she, basi aende Kandoto Girls Science School
 
boy kama huyo ni she, basi aende Kandoto Girls Science School

Ila kandoto na shule takriban zote za moshi na Tanga walishaanza pre form five tangu May na next week wanafungua shule na huwa wakifungua wanaendelea walipo ishia... kwa hiyo shule na nyingine hizo ni too late hawawezi kumpokea.
 
Labda ujaribu majengo kama ni private ila kama ni she shule nzuri za sayansi private ni za kidini ambazo ufanya usaili mapema.
 
Hallo wana-Jf,

Nina mdogo wangu amefauli kidato cha Nne na kupangiwa Mchepuo Arts(HGK). Yeye binafsi anataka asomee Mchepuo wa Sayansi(PCB) kwani hata hiyo Combi amepasua Pia.

Ninaomba kujulishwa Shule Nzuri kwa Mikoani(sio Dar) iliyo na Mchepuo wa PCB ili aweze kwenda kupiga Buku kwani ndio masomo anayoyapenda. Pia sio Vibaya nikajua na gharama ya Ada na Address(Simu au Postal Address) kwa Shule utakayo nitajia.

Natunguliza shukrani.

kuna shule ipo arusha inaitwa duluti pale tengeru
 
Habari wana jamnii. Naomba msaada ninamdogo wangu mchepuo wa PCB, PCM je shule gani bora ili afanye ucingizi
 
Back
Top Bottom