Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,050
- 12,966
Natafta shule nzuri ya kumhamishia kijana wangu.
Dogo anategemea kuingia form 3 mwakani
Kwa sasa anasoma Trust St. Patrick School ina kama maendeleo yake hayaridhishi..
Shule nadhani ndio haijajipanga, namtaftia shule nyingine.
Je ni ipi shule nzuri naweza kumpeleka.
Dogo anategemea kuingia form 3 mwakani
Kwa sasa anasoma Trust St. Patrick School ina kama maendeleo yake hayaridhishi..
Shule nadhani ndio haijajipanga, namtaftia shule nyingine.
Je ni ipi shule nzuri naweza kumpeleka.