Shule nzuri kwa wavulana Arusha

Shule nzuri kwa wavulana Arusha

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2014
Posts
4,050
Reaction score
12,966
Natafta shule nzuri ya kumhamishia kijana wangu.

Dogo anategemea kuingia form 3 mwakani
Kwa sasa anasoma Trust St. Patrick School ina kama maendeleo yake hayaridhishi..

Shule nadhani ndio haijajipanga, namtaftia shule nyingine.

Je ni ipi shule nzuri naweza kumpeleka.
 
fanya mpango mwanao asome ILBORU maana wako fiti ile mbaya, ila private kwenda government ni mziki mnene, ila ukimpeleka TENGERU BOYS itakuwa pouwa sana maana wao wako fiti kuliko ILBORU na inakuwaga kwenye 20 bora kitaifa
 
Natafta shule nzuri ya kumhamishia kijana wangu.

Dogo anategemea kuingia form 3 mwakani
Kwa sasa anasoma Trust St. Patrick School ina kama maendeleo yake hayaridhishi..

Shule nadhani ndio haijajipanga, namtaftia shule nyingine.

Je ni ipi shule nzuri naweza kumpeleka.

Trust St. Patrick Schools mbona wazuri tu angalia isije kuwa tatizo liko kwa upande wako au mtoto...
 
Back
Top Bottom