Shule kumi ghali Tanzania

Shule kumi ghali Tanzania

Haya Sasa mkuu, halafu Hawa ombaomba wa JF wanakuja kujifanya wanazijua Saana hizo shule.
Hawazijui hizo shule ndo maana wanapiga kelele...

Ni shule zenye culture tofauti sana sababu zina wanafunzi wa different countirie so wanaishi kiinternational zaidi hata walimu wao wengi sio local...

Wanafunzi wao hawafundishwi chochote kuhusu tanzania wala tamaduni za kitz hawaandaliwi kuishi hapa hata kiswahili hawajui
 
Vimaskini vya humu JF vimekalia kuimba Imba tu tafuta hela tafuta hela wkt havijui hata vinaongea Nini.

Hawa maskini wamesoma kayumba ambako kwny civics types za family walikua wanafundishwa ziko Aina Tatu.
1.Nuclear family
2.Extended family
3.Single parent family

Leo hizi shule za kitajiri, types of family wanazofundishwa Ni hizo Tatu hapo juu pamoja na hizi nyingine ambazo wameweka na picha kabisa kwny hivyo vitabu:

4.Mwanaume na Mwanaume na mtoto wakisema hio Ni Aina nyingine ya familia.

5.Mwanamke na Mwanamke na mtoto wakisema hio ni Aina nyingine ya familia.

6.Shemale na shemale wakiwa na mtoto wakisema hio Ni type nyingine ya familia.

Sasa maskini wa JF endeleeni kushobokea msivyovijua huku mkisema tafuta hela.
Hili umelithibitisha kuwa linapatikana katika mtaala wa IB au campbridge?
 
Hawazijui hizo shule ndo maana wanapiga kelele...

Ni shule zenye culture tofauti sana sababu zina wanafunzi wa different countirie so wanaishi kiinternational zaidi hata walimu wao wengi sio local...

Wanafunzi wao hawafundishwi chochote kuhusu tanzania wala tamaduni za kitz hawaandaliwi kuishi hapa hata kiswahili hawajui
Angalau wakipewa uzoefu Kama hivi ndio wanakua wanapata picha ya Hali halisi ya huko mkuu.

Na ukisoma hii thread ndipo utajua Wazazi walioko JF na exposure Yao kwny mambo ya shule za kimataifa zilivyo zero.,Ila kwa ujuaji wanajifanya ndio wenyewe.
 
Angalau wakipewa uzoefu Kama hivi ndio wanakua wanapata picha ya Hali halisi ya huko mkuu.

Na ukisoma hii thread ndipo utajua Wazazi walioko JF na exposure Yao kwny mambo ya shule za kimataifa zilivyo zero.,Ila kwa ujuaji wanajifanya ndio wenyewe.
Achana nao mkuu usipoteze muda wako kuwaelewesha wakisikia st marrys internationa school wao wanajua ndo international hiyo
hawajawahi kuexperience international kiuhalisia ni nini...
 
Umetoka matombo, Karagwe na Kishapu... Umeacha shangazi zako na umasikini wa kutupa, na hii ndiyo ardhi ya kwenu wewe unasema unakua umeteka Dunia, Kuna ngozi nyeusi iliyo teka Dunia kiuchumi au unaongea tu kujifurahisha, akiwepo aliyeteka Dunia na ni ngozi nyeusi basi ni mfanya biashara asiye na elimu au mwenye elimu ndogo, mtindo wa hizi shule ni kumfanya mweusi mjinga awaze kwenda kutumika Ulaya, nao wanafurahi Kwa sababu wanajua haya mapuuzi hayajengi uchumi wao yanakuja kwetu
Usitoe maoni kwa kuwadharau wengine, kwani mtu akitoka matombo kuna ubaya gani akitoa maoni? Mtu akitoka kishapu inamtolea uhalali wa kujiunga jf na kushiriki mijadala? Mtu akitokea karagwe anakuwa na tatizo gani hasa kwa upande wako?

Turudi kwenye mada iliyo tukutanisha hapa, huoni kama sababu ya uchache wa watu weusi kusoma katika shule zinazo toa mitaala bora kunaweza kuwa kichocheo cha sisi kuwa nyuma siku zote?
 
Mawazo ya wachangie wengi ni kwa sababu ya umaskni tu. Na wengi wetu hapa tunachangia mawazo ya kimaskin. Ukisoma kitabu Cha rich day na poor dady utaelewa haya. Baba tajiri huwaza mtoto awe na elimu Bora na baba maskin anawaza Bora mtoto wake apate elimu bila kujali elimu Bora.
Vyou Bora dunian ada yake ni said ya mili150 kwa mwaka. Mtoto huyo huwezi kumlinganisha na mtoto aliyehitimu udom penye ada ya mil 1 kwa mwaka. Ni sawa na kufananisha mbingu na ardhi
 
Unaingiza 1B sasa hivi? Wanao wanasoma wapi? Wanaoingiza hizo billions hela ya Ada haitoki mfukoni kwao ni sehemu ya gharama za kampuni yake. Na shule hizo wengi ni watoto wa mabalozi na wafanayakazi wa international bodies ambazo ndio zinalipa Ada na gharama zingine za maisha.

Hapo nimekuelewa sasa!! And nimesema hata kama ningekuwa naingiza 1bn kwa mwezi iyo hela silipi mkuu sio kwamba ndo kipato nilicho nacho hapana,

Ikifika wakati nakuwa na b kwenye account yani nikuwekeza kwakwenda mbele!! watakuja kunishukuru hapo badae hawa watoto..... hamna hamna shule ada isizidi milion 4 nalipa ila sijui milioni 10 kwa mwaka iyo hamnaga silipi
 
Hapo nimekuelewa sasa!! And nimesema hata kama ningekuwa naingiza 1bn kwa mwezi iyo hela silipi mkuu sio kwamba ndo kipato nilicho nacho hapana,

Ikifika wakati nakuwa na b kwenye account yani nikuwekeza kwakwenda mbele!! watakuja kunishukuru hapo badae hawa watoto..... hamna hamna shule ada isizidi milion 4 nalipa ila sijui milioni 10 kwa mwaka iyo hamnaga silipi
Ukifika huo wakati hutakuwa na mawazo haya. Na kuna uwezekano mambo ya ada na vitu kama hivyo wala utakuwa huangaiki navyo,kuna watu watafanya hio kazi.
 
Back
Top Bottom