KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,768
- 86,455
Na zenyewe huwa zinazira kuepusha lawama..🤣Kuna binadamu wanajua kutumia akili. Kwahiyo hii mashine inakwangua nyasi zisizo na tija na kuacha mazao. Je kama nyasi imeota kwenye shina la mmea sahihi inafanyaje!?.