mashinetata
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 395
- 908
Umekosea kusema "elimu in ubishoo" ungeweka "mtaala wa elimu ya bongo ni ubishoo".Kwa sasa elimu ni ubishoo tu, na ndo mana utawaona ni matajiri, mtu wa kawaida wapo wanao weza na wana mishahara ya million 7 au 8 lakini wametoka familia masikini tu, milioni 71 per year nikiiweka Kwa akili ya huyo mtoto kiuwekezaji, na Kisha akasoma elimu ya kawaida, bado anaweza kifika mbali kielimu na akamaliza akiwa na mali pia ambayo wewe kama mzazi umeitengeneza, na inawezekana kabisa wale wenzie wa ada ya million 71 wakaja kuajiriwa naye
Msitujengee ujinga vichwani ilihali uhalisia tunaujua
Hao watu wanaosomesha watoto hiyo mitaala mostly ni watu wanaoijua dunia na wameteka takribani kila nyanja katika dunia halafu sio watu wa show off.


