totlo masire
JF-Expert Member
- Nov 7, 2021
- 868
- 1,404
sikatai hiyo inawezekana Kwa nafasi ndogo plus high connection ila mkuu Kumbuka hao watoto wa ghari mara nyingi wakimaliza hiyo elimu yenye mitaala ya Cambridge hapa bongo hua wanakwea pipa mambele kwenye university Bora Ulimwenguni kubukua,
Mwenye nacho huongezewa Mzee baba!
Alafu akishaenda uko mambele akasoma akamaliza?
