Shule kumi ghali Tanzania

SINA SWALI. Mtoto kazi kwake akija kuwa mlalamishi atakuwa kajitakia.
Ila math sio extra curricular bali ni mainstream curriculum.
Mtaala tarajiwa wa serikali usipocheza humo itakuwa wametumia pesa za serikali vibaya.

hawatumii mtaala wa serikali, they learn math darasani but kama kuna mtoto anataka more math, anapewa watoto wengi husoma chuo nje na wengi ndoto zao ni Ivy League baada ya DP
 
Ubora unakuwepo lakini sio technical, ada inakuwa kubwa kutokana na gharama za uendeshaji, mfano watachukua mwalimu kutoka uingereza/ Kenya na watamlipa mshahara wa milioni 6,watakula chakula kizuri labda kuku n.k, wataenda mbuga za wanyama, n.k wakati hizi shule za vumbi mshahara wa mwalimu ni laki 3. Kwa hiyo gharama kubwa aimaanishi ubora, bali inatokana na kuwa na gharama kubwa za uendeshaji.
Kimlipa mwalimu mil 6 ambae ni bora ndio ubora. Kula chakula balanced diet ndio ubora. Ni sahihi kulipa hizo hela pengine nj nfogo.
Niligogo ubso mmoja wa smart board una range mpaka milioni 20 ambao ni nchi 40. Shilr bora inahitaji smartboard kama hizo ngapi
Elimu ni gharama sana na ukitaka kujua hilo angalia vyio vya nje zina fika dola 100.000. Ina maana bila nfadholi husomi chuo kama hicho kwa sisi walala hoi .
Kuwepo shule 10 tu jama hizo ina maana bado tupo nyuma na hata wenye hela TZ bado hawaoni kipaumbele kulipa ada kubwa wanaona bora wapekeke kwenye private za milioni 2 ambazo ni kama kayumba za english ambazo hazina extra curricula.
 
Back
Top Bottom