CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 2,940
- 7,328
SINA SWALI. Mtoto kazi kwake akija kuwa mlalamishi atakuwa kajitakia.
Ila math sio extra curricular bali ni mainstream curriculum.
Mtaala tarajiwa wa serikali usipocheza humo itakuwa wametumia pesa za serikali vibaya.
hawatumii mtaala wa serikali, they learn math darasani but kama kuna mtoto anataka more math, anapewa watoto wengi husoma chuo nje na wengi ndoto zao ni Ivy League baada ya DP