ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,661
- 57,066
Kweli kila mbuzi ale urefu wa kamba yako
Na huko ndiko kwny uzalishaji mkubwa wa vijana mapunga na wasagaji.
Kwa sasa elimu ni ubishoo tu, na ndo mana utawaona ni matajiri, mtu wa kawaida wapo wanao weza na wana mishahara ya million 7 au 8 lakini wametoka familia masikini tu, milioni 71 per year nikiiweka Kwa akili ya huyo mtoto kiuwekezaji, na Kisha akasoma elimu ya kawaida, bado anaweza kifika mbali kielimu na akamaliza akiwa na mali pia ambayo wewe kama mzazi umeitengeneza, na inawezekana kabisa wale wenzie wa ada ya million 71 wakaja kuajiriwa nayeAsante Sana Dj haya tuletee
St Kayumba stejini watuhurudishe na kibao mwanana Cha Elimu bureeee!
Walimu na mazingira ya kusomea ni 5star.Kwa hiyo gharama hizo zinatokana na mtaala - Cambridge and IB? Labda walimu na vifaa vya mitaala hiyo haipo nchini!
Kuna mtoto mmoja nimekutana naye Jana Yuko A-level bado natafakari watoto wangu wa kiume watakuwajeNa huko ndiko kwny uzalishaji mkubwa wa vijana mapunga na wasagaji.



Hizo shule wanasoma watoto wa mabalozi,watoto wa wafanyakazi wageni tokaWenyewe wa aina tatu: (a) wapigaji kwenye eneo lolote lile, (b) wanaosomeshewa watoto wao na waajiri wao, (c) wafanyabiashara wakubwa wasiokwepa kodi na walianzisha biashara zao kihalali, kinyume na haya ni wapigaji!
sikatai hiyo inawezekana Kwa nafasi ndogo plus high connection ila mkuu Kumbuka hao watoto wa ghari mara nyingi wakimaliza hiyo elimu yenye mitaala ya Cambridge hapa bongo hua wanakwea pipa mambele kwenye university Bora Ulimwenguni kubukua,Kwa sasa elimu ni ubishoo tu, na ndo mana utawaona ni matajiri, mtu wa kawaida wapo wanao weza na wana mishahara ya million 7 au 8 lakini wametoka familia masikini tu, milioni 71 per year nikiiweka Kwa akili ya huyo mtoto kiuwekezaji, na Kisha akasoma elimu ya kawaida, bado anaweza kifika mbali kielimu na akamaliza akiwa na mali pia ambayo wewe kama mzazi umeitengeneza, na inawezekana kabisa wale wenzie wa ada ya million 71 wakaja kuajiriwa naye
Msitujengee ujinga vichwani ilihali uhalisia tunaujua
Hizo shule jumla yake hazifikishi wanafunzi 10000 ila wasagaji wengi uswahilini wanazidi hiyo idadiNa huko ndiko kwny uzalishaji mkubwa wa vijana mapunga na wasagaji.
Haya mahesabu anapiga masikini.Kwa sasa elimu ni ubishoo tu, na ndo mana utawaona ni matajiri, mtu wa kawaida wapo wanao weza na wana mishahara ya million 7 au 8 lakini wametoka familia masikini tu, milioni 71 per year nikiiweka Kwa akili ya huyo mtoto kiuwekezaji, na Kisha akasoma elimu ya kawaida, bado anaweza kifika mbali kielimu na akamaliza akiwa na mali pia ambayo wewe kama mzazi umeitengeneza, na inawezekana kabisa wale wenzie wa ada ya million 71 wakaja kuajiriwa naye
Msitujengee ujinga vichwani ilihali uhalisia tunaujua
Ni rahisi kwa mwanafunzi wa IST kuingia harvard kuliko st kayumba, hata kama wa st kayumba ana A zote kuanzia vidudu.sikatai hiyo inawezekana Kwa nafasi ndogo plus high connection ila mkuu Kumbuka hao watoto wa ghari mara nyingi wakimaliza hiyo elimu yenye mitaala ya Cambridge hapa bongo hua wanakwea pipa mambele kwenye university Bora Ulimwenguni kubukua,
Mwenye nacho huongezewa Mzee baba!
Usagaji na ushoga unaanzia nyumbani.Hizo shule jumla yake hazifikishi wanafunzi 10000 ila wasagaji wengi uswahilini wanazidi hiyo idadi
Hao sidhani kama wana mawazo ya hizi ajira tunazogombania wakina sie.....huyo anamaliza tayari kuna biashara zinamngoja asimamie hata kama ni kazi basi ni sehemu zile nzito nzito za maanaKwa sasa elimu ni ubishoo tu, na ndo mana utawaona ni matajiri, mtu wa kawaida wapo wanao weza na wana mishahara ya million 7 au 8 lakini wametoka familia masikini tu, milioni 71 per year nikiiweka Kwa akili ya huyo mtoto kiuwekezaji, na Kisha akasoma elimu ya kawaida, bado anaweza kifika mbali kielimu na akamaliza akiwa na mali pia ambayo wewe kama mzazi umeitengeneza, na inawezekana kabisa wale wenzie wa ada ya million 71 wakaja kuajiriwa naye
Msitujengee ujinga vichwani ilihali uhalisia tunaujua
Maskini mna wivu sana. Halafu hua mnajiona wakamilifu sana.Na huko ndiko kwny uzalishaji mkubwa wa vijana mapunga na wasagaji.
Mimi nimesoma Kennedy House USA River saivi mbona napalilia mahindi huku Simanjiro!Hivi mtoto anayesoma hizi shule anaweza kuja kufanya kazi ya utendaji huku kwetu Nanjilinji...?