Shule hii Mbeya iko wapi?

We ni muhenga
 
Iyunga inazidiwa hadi na shule za Kata siku hizi
 
Hahahahab.kyege alikuwa mibangi sana .

Alishawahi kunitibua karakana pale siku moja nikamcheki na meno yake ya rangi rangi zile nikasema poa tu tusikutane mtaa
Ahaaa
Mwakasage
Mwakitalima
Mshangama
Ndudi wa Technical drafting

Msaki
Kisusange
Zamgambo wa Brick work
Mr matally wa ele trical installation

Mambo ni mengi siwezi ongea yote, Ile haikuwa shule bali kambi ya Jeshi
 
Hiyo shule ya NA Mbeya ndipo ilipo sasa Meta Secondary School karibu na Mabatini. Ilichukuliwa na CCM imekuwa Shulman ya wazazi.
Mpaka sasa sijapata jibu, inamaana hiyo shule imeyeyuka! Shule za bodingi za wavulana Mbeya mjini zilikuwa mbili LA (NA) Forest na Santa Joseph (Nzovwe)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…