Shule 10 ghali zaidi barani Afrika

Shule 10 ghali zaidi barani Afrika

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
19,147
Reaction score
43,079
Inawezekana huwa unajiuliza ni zipi shule ghali zaidi Afrika kwa kipindi kirefu sasa,Hizi hapa shule kumi ghali zaidi katika ukanda wetu wa Afrika pamoja na Ada zake;

10. American international school, Zambia (annual fee 22,070$)

9.Hilton college,South Africa (Annual fee 22,596$)

8. International Community school of Abidjan, Ivory Coast (Annual fee 23,400$)

7. Lincoln community school,Ghana (Annual fee 26,276$)

6. Cairo American college,Egypt (Annual fee 26,500$)

5. Kampala International school, Uganda ( Annual fee 26,918$)

4. Al farouk language school,Egypt (Annual fee 28,783$)

3. International school of kenya, Kenya (Annual fee 31,142$)

2. American international school, Nigeria (Annual fee
31,228$)

1. International school of Tanganyika,Tanzania (Annual fee 32,000$)
 
Inawezekana huwa unajiuliza ni zipi shule ghali zaidi Afrika kwa kipindi kirefu sasa,Hizi hapa shule kumi ghali zaidi katika ukanda wetu wa Afrika pamoja na Ada zake;

10. American international school,Zambia (annual fee 22,070$)

9.Hilton college,South Africa (Annual fee 22,596$)

8.International Community school of Abidjan,Ivory Coast (Annual fee 23,400$)

7.Lincoln community school,Ghana (Annual fee 26,276$)

6.Cairo American college,Egypt (Annual fee 26,500$)

5.Kampala International school,Uganda ( Annual fee 26,918$)

4.Al farouk language school,Egypt (Annual fee 28,783$)

3.International school of kenya,Kenya (Annual fee 31,142$)

2.American international school,Nigeria (Annual fee
31,228$)

1.International school of Tanganyika,Tanzania (Annual fee 32,000$)
Kwa hiyo huyo muitimu anaanza kusoma miaka mingapi mpaka kumaliza?
 
Kwa Tanzania ni St Constantine ya Arusha wao grade 9-10 ni usd 34,300 usd kindergarten mpaka grade 5 fees ni tofauti na grade 6-8.. Wazazi wanaachaa deposit wakiandikishwa kwa boarding ni 300usd na kutwa ni 150usd shule wanaopeleka watoto wanataka bank statement kama wanaomba VISA vile wasije wakamchukua mtoto kumbe mzazi mchimba chumvi kaokota za mawe siku mbili tu nae anataka nafasi ya mtoto na shule ingine ipo Moshi wao fees miaka minne iliyopita ilikua karibu 74m kwa kutwa..
 
Kwa Tanzania ni St Constantine ya Arusha wao grade 9-10 ni usd 34,300 usd kindergarten mpaka grade 5 fees ni tofauti na grade 6-8.. Wazazi wanaachaa deposit wakiandikishwa kwa boarding ni 300usd na kutwa ni 150usd shule wanaopeleka watoto wanataka bank statement kama wanaomba VISA vile wasije wakamchukua mtoto kumbe mzazi mchimba chumvi kaokota za mawe siku mbili tu nae anataka nafasi ya mtoto na shule ingine ipo Moshi wao fees miaka minne iliyopita ilikua karibu 74m kwa kutwa..
Mwongo mkubwa wewe.
 
Kwa Tanzania ni St Constantine ya Arusha wao grade 9-10 ni usd 34,300 usd kindergarten mpaka grade 5 fees ni tofauti na grade 6-8.. Wazazi wanaachaa deposit wakiandikishwa kwa boarding ni 300usd na kutwa ni 150usd shule wanaopeleka watoto wanataka bank statement kama wanaomba VISA vile wasije wakamchukua mtoto kumbe mzazi mchimba chumvi kaokota za mawe siku mbili tu nae anataka nafasi ya mtoto na shule ingine ipo Moshi wao fees miaka minne iliyopita ilikua karibu 74m kwa kutwa..
Ko hizi takwimu ni zauongo sio?
 
Back
Top Bottom