LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
Najua kudhiliwa tena najua kufanikiwa katika hali yoyote, na katika mambo yoyote,
Nimefundishwa kushiba na kuona njaa, kuwa na vingi na kupungukiwa.
Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.
Wafilipi 4:12-13
Mungu yupo pamoja nawe katika mambo yote JS.
Nimefundishwa kushiba na kuona njaa, kuwa na vingi na kupungukiwa.
Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.
Wafilipi 4:12-13
Mungu yupo pamoja nawe katika mambo yote JS.