amekufa kwa ujinga wake mwenyewe
Hapa tu ndipo panaponifanya niamini Ccm wana mioyo ya mapepo. Hata kwenye msiba hawajali, Mtu huyo kavaa kijani ni Kada wenu Bado mnamtukana., kiburi Cha uzima..hivi nani achore kibonzo kikionyesha Askari anafyatulia wananchi risasi hiku ccm iko juu ya mtutu wa bunduki ikipunga hewa mwanaaaana..amekufa kwa ujinga wake mwenyewe
Ushujaa wake ni upi? Elezea kidogo tumuelewe marehemu!
Angekuwa mzaliwa nawe ungesema hayo?amekufa kwa ujinga wake mwenyewe
amekufa kwa ujinga wake mwenyewe
amekufa kwa ujinga wake mwenyewe