- Thread starter
- #61
hahahaa kivipi mkuu,Hii movie ina mamasta wengi mno, ila huyu wa episode hii kavuruga movie.
au mimi ndo wale stering wadogo.
hahahaa kivipi mkuu,Hii movie ina mamasta wengi mno, ila huyu wa episode hii kavuruga movie.
Wewe una elimu gani?Ndio shida ya serikali yetu tukufu,wakihisi kwamba wananchi hawana elimu ya kutosha
Rais yupi magufuli au mwingne.Siro anaaibisha serikali IGP mzima. Rais achukue hatua mapema iwezekanavyo Siro anamtia madoa
Mi sijui Mkuu,Kivipi mkuu,tushirikishane..
Oooohk hukunielewa mkuu,Mimi sio muhuni nimekasirika saana kuliona gari likiwa hivi wakati linamteka Bilionea ambapo waneweza kumuomba gari lake waondoke na tairi zake tu waache mgari hapo Kawe.
Pili, kwa nini vijana wetu machachari wakaenda kupiga picha tu liliposimama wala hawakupata picha moja tu wakimbadili nguo na rangi MO??
Samaha, nilikuwa nawaza upuuzi wangu tu. Nadhani nimevimbirwa mihalage ya Moro, Si wajua tena, beche na ndondo!!
tupo pamoja mkuuSasa nimeelewa. Kumbe sikuhitaji hata miwani. Kitu kama kuangalia bahari ukiwa koko bichi.
Hata kipofu mie nimeona
mawazo yote yakiisha,urejee tulijenge taifa mkuuKama namba za pikipiki na bajaji vile. Tofauti ya hii ni kuwa MC iko mwisho badala ya kuwa mwanzo qa namba.
Nawaza tu lakini.
asanteHawaonekani lakini gari lao ndo hilo. Si tumeambiwa na top kabisa wa wasakaji?? Tuache kumuamini yeye tumuamini nani tena??
Beche bin kupune. Acha kabisa.
Hivi sarakasi uchezwaje?
Kuonesha mipicha tele kumbe ukweli waujua tu nayo ni sarakasi
Ndo watu wetu hao,wanao litumikia taifa kwa heshimaKuonesha mipicha tele kumbe ukweli waujua tu nayo ni sarakasi
cctv zinafungwa mtaron siku hz?
Hahahaha.
ni wabaya kuliko mashetani
Kaingia ChakaMUNGU ANAKUONA
Sasa nimekuelewa mkuu kumbe na wewe ulishangaa ka mimi kuona picha hii mbaya sana inaonesha MO si ajabu alichoka saana huo mchakamchaka na inaonesha hata Shock up za hii gari zimeisha upande wa dere. Sasa mtu wa seat ya nyuma ni aje?? Tena uwe umepakizwa kule kwenye boot?? Pole sana Mo. Ila ukirudi salama, Toa sadaka ya shukrani.Oooohk hukunielewa mkuu,
hizi picha nimezileta mbele yenu ili kukuonesheni alichotuambia mtukufu wetu Siro