Mkuu nadhani kwa picha unajua kilichosemwa na kinachoendeleaNini hii
Ndio shida ya serikali yetu tukufu,wakihisi kwamba wananchi hawana elimu ya kutoshaElimu...elimu... Elimu.... Hii nchi viongozi wake wanawaona watanzania ni mambumbumbu,hatuwezi kuwaza nje ya box yaani tupo tupo tuuu
Hahahahaha.ndio mkuueti FUTUHI.......
Hahahahaaaaaaaaa
Pamoja na hii picha maelezo yangesaidia hata kama akili za kuambiwa ongeza na zakwako.Kumbuka, ukishamaliza kumuogopa Mungu, iogope hii kitu inaitwa sayansi na teke linalo kujia. (Teknolojia).!
#Shida ya nchi hii, kwenye mambo serious, tunafanya Futuhi.
Ndimi, mjoli wenu Baron de montesque
Nitarejea
View attachment 903547View attachment 903548View attachment 903549
Kwa hiyo CCTV iliamua kupiga Gari, nyuma,nyumana mbele bila kuonesha watekaji? Upigaji huu ulipangwa? Ilijua itafuatiliwa?Kumbuka, ukishamaliza kumuogopa Mungu, iogope hii kitu inaitwa sayansi na teke linalo kujia. (Teknolojia).!
#Shida ya nchi hii, kwenye mambo serious, tunafanya Futuhi.
Ndimi, mjoli wenu Baron de montesque
Nitarejea
View attachment 903547View attachment 903548View attachment 903549
Hahahaha umeona eehMh mkubwa katuona wana sesere