Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,284
- 39,511
- Thread starter
- #81
Mshauri aondelee kula mzigo ili asilikose gari
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Mke wa mtu ndo tatizo lipo hapo
Mshauri aondelee kula mzigo ili asilikose gari
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Alipewa kwa makubaliano ya kugegeda
Anataka kukumbia huo Ni utapeli unless aachiwe
Ningekuwa Mimi Wala nisingeishi kwa amani nalo
Gari usiloilovujia jasho sio lako
Jamaa amevunja mkataba na Mama.Mkataba wa jamaa na Mama ni kuwa ampe Mama mapenzi motomoto bila ya kuangalia kama Mama ana mtu mwingine au laa na Mama ampe gari.Sasa ukivunja mkataba kwa makusudi unategemea nini?
Yule siyo mume,yule nae ni mtoa rahaa tu ndiyo maana alipomfumania dogo hakuleta noma wala nini!Mama hakusema kama ana mme mapema
Nahisi ni wewe mwenyewe unajifanya kumtaja rafiki yako, angalia tu usije ukalawitiwa bure yaani mme mwenzio ajenge nyumba, ampendezeshe mkewe hafu wewe ukafanye ufuska kwenye mjengo wake dogo jiangalieWakuu mambo vipi?
Na rafiki yangu tunapiga kazi sehem moja sasa alibahatika kupata mpenzi ni mama wa miaka42 hivi, huyu mama ni anapesa sana ana biashara zake kibao znamwingizia pesa bado anafanyia kazi campun kubwa sana hapa DSM.
Walianza mapenzi toka august mapenz yakawa moto, mama amedata kwa jamaaa, hapo mama alisema hana mme ila anawatoto 3. Jamaa angu nae alikuwa amekolea tayr kwa penzi la mama hakutaka kumchunguza san huyu mama, japo nilimsisitiza sana awe makini na pia sikutaka kuingilia mambo ya watu.
October mama akamnunulia jamaa ndinga NISSAN DUALIS kali kabisa, jamaa akawa anaenda kwa mama analala na mama sometime anaenda lala kwa jamaa, siku jamaa aloshtuka alikua kwa mama kama kawaida usiku akasikia gate linafunguliwa akaingia mzee mzma wa makamo akasalimia akaunga chumbani, jamaa anasema alipigwa na butwaa alihisi yule ni mme wake tu. Alimwuliza mama akakubali ni mme wake eti walichana amekuja salimia watoto.
Jamaa baada ya kujua yule ni mke wa mtu akaamua kujitenga taratibu, hapo mama mapenzi ndo yamekolea haelewi kitu. Jamaa akafanikiwa kuwa nae mbali kimtindo akipiga cm hapokei nk. Yule mama akamind akatuma txt kwamba jamaa arudishe gari yake haraka.
Jamaa akanichek akanichana situation yote aktaka nimpe ideas kuhusu hii ishu, nikamwuliza gari umesajili kwa tin ya nan? Ya yule mama au yako? Akasema tin yake nikamwambia imeisha hio gari ni mali yako cha msingi hama hapo ulipokua unakaa then na gari tafuta sehem ifungie kwa muda. Manake hii ndinga tunavimbia nayo sana mtaani hadi batani[emoji28][emoji28]
Wakuu mnasemaje kuhusu ushauri nilompa??
Uniletee kwangu Uo jamaa yako. Ntampa vitu uo mama hawezi kumsumbua. Akiweza kushika masharti.Wakuu mambo vipi?
Na rafiki yangu tunapiga kazi sehem moja sasa alibahatika kupata mpenzi ni mama wa miaka42 hivi, huyu mama ni anapesa sana ana biashara zake kibao znamwingizia pesa bado anafanyia kazi campun kubwa sana hapa DSM.
Walianza mapenzi toka august mapenz yakawa moto, mama amedata kwa jamaaa, hapo mama alisema hana mme ila anawatoto 3. Jamaa angu nae alikuwa amekolea tayr kwa penzi la mama hakutaka kumchunguza san huyu mama, japo nilimsisitiza sana awe makini na pia sikutaka kuingilia mambo ya watu.
October mama akamnunulia jamaa ndinga NISSAN DUALIS kali kabisa, jamaa akawa anaenda kwa mama analala na mama sometime anaenda lala kwa jamaa, siku jamaa aloshtuka alikua kwa mama kama kawaida usiku akasikia gate linafunguliwa akaingia mzee mzma wa makamo akasalimia akaunga chumbani, jamaa anasema alipigwa na butwaa alihisi yule ni mme wake tu. Alimwuliza mama akakubali ni mme wake eti walichana amekuja salimia watoto.
Jamaa baada ya kujua yule ni mke wa mtu akaamua kujitenga taratibu, hapo mama mapenzi ndo yamekolea haelewi kitu. Jamaa akafanikiwa kuwa nae mbali kimtindo akipiga cm hapokei nk. Yule mama akamind akatuma txt kwamba jamaa arudishe gari yake haraka.
Jamaa akanichek akanichana situation yote aktaka nimpe ideas kuhusu hii ishu, nikamwuliza gari umesajili kwa tin ya nan? Ya yule mama au yako? Akasema tin yake nikamwambia imeisha hio gari ni mali yako cha msingi hama hapo ulipokua unakaa then na gari tafuta sehem ifungie kwa muda. Manake hii ndinga tunavimbia nayo sana mtaani hadi batani[emoji28][emoji28]
Wakuu mnasemaje kuhusu ushauri nilompa??
Uzi huu umeletwa kwenu kwa hisani kubwa ya bongo movie.View attachment 1652069
kwani mgegedaji katosheka na hyo dualis!?..Anayegegedwa hajatosheka
Acha uzushi mzeekwani mgegedaji katosheka na hyo dualis!?..
hahaaa hapana mkuu.. hii mada kila mtu anamnanga jamaa arudishe gari, wakati kapewa kwa mapenzi tu, amehangaika na vumbi la kongo huko, amekaza tako weee na ukute kazama mpka huko kunako.. ila watu hawaoni sacrifice zake!.. wanaona tu kua bi mkubwa katapeliwa dualis wakati yy mwenyewe aliitoa kwa mapenzi tena nnadhani bila hata kuombwa,..Acha uzushi mzee
Mwanamme wa Dar sikia, tunaelewa wewe na mshikaji wako ni washamba wa ndinga lakini ukweli ni kwamba hiyo mali mshikaji wako alikabidhiwa tu kama ahsante ya kumkuna huyo Mama ili Kipochi manyoya chake kisizibe kwa kutu. Mwambie amrudishie mali yake, mshikaji wako hajanunua, na akirudisha naomba unipe namba ya simu ya huyo Mama ili nikakague hilo gari.Wakuu mambo vipi?
Na rafiki yangu tunapiga kazi sehem moja sasa alibahatika kupata mpenzi ni mama wa miaka42 hivi, huyu mama ni anapesa sana ana biashara zake kibao znamwingizia pesa bado anafanyia kazi campun kubwa sana hapa DSM.
Walianza mapenzi toka august mapenz yakawa moto, mama amedata kwa jamaaa, hapo mama alisema hana mme ila anawatoto 3. Jamaa angu nae alikuwa amekolea tayr kwa penzi la mama hakutaka kumchunguza san huyu mama, japo nilimsisitiza sana awe makini na pia sikutaka kuingilia mambo ya watu.
October mama akamnunulia jamaa ndinga NISSAN DUALIS kali kabisa, jamaa akawa anaenda kwa mama analala na mama sometime anaenda lala kwa jamaa, siku jamaa aloshtuka alikua kwa mama kama kawaida usiku akasikia gate linafunguliwa akaingia mzee mzma wa makamo akasalimia akaunga chumbani, jamaa anasema alipigwa na butwaa alihisi yule ni mme wake tu. Alimwuliza mama akakubali ni mme wake eti walichana amekuja salimia watoto.
Jamaa baada ya kujua yule ni mke wa mtu akaamua kujitenga taratibu, hapo mama mapenzi ndo yamekolea haelewi kitu. Jamaa akafanikiwa kuwa nae mbali kimtindo akipiga cm hapokei nk. Yule mama akamind akatuma txt kwamba jamaa arudishe gari yake haraka.
Jamaa akanichek akanichana situation yote aktaka nimpe ideas kuhusu hii ishu, nikamwuliza gari umesajili kwa tin ya nan? Ya yule mama au yako? Akasema tin yake nikamwambia imeisha hio gari ni mali yako cha msingi hama hapo ulipokua unakaa then na gari tafuta sehem ifungie kwa muda. Manake hii ndinga tunavimbia nayo sana mtaani hadi batani[emoji28][emoji28]
Wakuu mnasemaje kuhusu ushauri nilompa??
Na uchawi kama huu wanafanyaga wanawake tu ila mwanamme hana muda anakwenda kutafuta pesa akahonge jinamizi lingine la mapenzi.Acheni kupenda vya bure,
kuna jamaa alikimbia na gari la shuga mamy, ila yaliyomkuta sio ya kuhadithiww.
Walianza kudead mmoja mmoja wa jamaa zake wa karibu, mwisho ikija kufa gari baada ya kupata ajali kubwa na yy kuathirika sana.
Cha mtu mavi, tafuteni vyenu
Yule siyo mume,yule nae ni mtoa rahaa tu ndiyo maana alipomfumania dogo hakuleta noma wala nini!
Nahisi ni wewe mwenyewe unajifanya kumtaja rafiki yako, angalia tu usije ukalawitiwa bure yaani mme mwenzio ajenge nyumba, ampendezeshe mkewe hafu wewe ukafanye ufuska kwenye mjengo wake dogo jiangalie
Uniletee kwangu Uo jamaa yako. Ntampa vitu uo mama hawezi kumsumbua. Akiweza kushika masharti.
Kapata uchi na gari ana bahati sana
Hilo gari kanunuliwa au ali mwazimisha tu ili iwe rahisi kumpata pale anapohitajika afike kwa haraka..