Uelezee kwa kweli ili kama inafunza wengine wajifunze maana hii tabia ipo sana wakati wa safari na walio wengi wanaonaga ni kawaida hasa Me. πππmiaka ya nyuma nilishawahi kukutana na hiyo changamoto nitakueleza vizuri baadaye hapa haikai
Mmh. Sawa basi Mkuu.ππHuwa lina ukakasi na linaondoa murua....!
Huwa husemi uongo.Nop....!
D
Kwa hiyo imejitype ehHahaha hahaa simu yangu sometimes inajitype maneno. Si unajua mambo ya simu janja dear.
Hili hata Hajar anajua
Hahahaha kwa hiyo kuzungushwa ni ishara ya kukubaliwa. NimechekaaaaHaswaa mtu hashikiwi fimbo kulazimishwa
Tatizo la baadhi ya Ke wakitongozwa hua hawatoi jibu lililonyooka. Atajizunguusha wee na mwanaume anajua huyu ni staki nataka anaongeza speed ambapo sasa mwanamke anaona kama anasumbuliwa
Ukiona mwanamke katongozwa safarini halafu sijui kashuka kabda ya anapoenda ujue huyo hajiamini, anahisi kama jamaa akiendelea kidogo atajikuta anashindwa kumkatalia na ataishia kukulwa
Mwanamke anaejiamini anakujibu kistaarabu akiona huelewi anakupa makavu basi mwenyewe unarudi nyuma na mchezo unaishia hapo
nitajitahidi ila siwezi eleza yote ngoja mida ifike wengine walaleUelezee kwa kweli ili kama inafunza wengine wajifunze maana hii tabia ipo sana wakati wa safari na walio wengi wanaonaga ni kawaida hasa Me. πππ
Ila jirani ujue hii ni zaidi ya experience aiseee. πππInategemea. Marks za siku moja zinaweza kukufanya uendeleee au ufunge hiyo page.
Amesema imejitype yenyew..
Nipo mkuu. Natazama jinsi abiria anavyochunga mzigo wake. Some time raha...
Huo ndio ukamanda mkuu, mwanaume ni kama simba katika kuwinda haogopi kujeruhiwaAsie jua kukataliwa kwa sisi wanaume tunasema huyo si mwanaume kamili,na kujitia umangungu wa kang'ang'ania ni kutojiamini.
Mimi mbona humu nimekataliwa mara kibao,nimekubali matokea.... Nacheka sana.
Umeonaeeee. Hii ndio kweli Sesten.Haswaa mtu hashikiwi fimbo kulazimishwa
Tatizo la baadhi ya Ke wakitongozwa hua hawatoi jibu lililonyooka. Atajizunguusha wee na mwanaume anajua huyu ni staki nataka anaongeza speed ambapo sasa mwanamke anaona kama anasumbuliwa
Ukiona mwanamke katongozwa safarini halafu sijui kashuka kabda ya anapoenda ujue huyo hajiamini, anahisi kama jamaa akiendelea kidogo atajikuta anashindwa kumkatalia na ataishia kukulwa
Mwanamke anaejiamini anakujibu kistaarabu akiona huelewi anakupa makavu basi mwenyewe unarudi nyuma na mchezo unaishia hapo
Hahahahaha experience nimeipata humu humu kwa kusoma.Ila jirani ujue hii ni zaidi ya experience aiseee.
Simu janja hizi.... zinasumbua.Amesema imejitype yenyew..
Hahaha
Hao wakina brenda ndio wanaotakiwa. Hao wa msimamo mkali hapana. Msiwe mnasafiri wenye itikadi kaliUmeonaeeee. Hii ndio kweli Sesten.
Msimamo ndio kila kitu na wasiokuwa na misimamo ndio kama hao kina brenda.
Wewe dawa yako inachemka !Mmh. Sawa basi Mkuu.
We jamaa una akili saana.Huo ndio ukamanda mkuu, mwanaume ni kama simba katika kuwinda haogopi kujeruhiwa
Kukataliwa ni sehemu ya game, pengine mwanzo mwanamke anaweza akakukatalia baadae unavyo behave akarudi mwenyewe ukajilia kiulaiini, nawashangaa wanaotumia nguvu na kulazimisha haya mambo kwa usumbufu usiokua na maana kwa Ke
Hiyo mbinu ya kupotea kwa muda mchezoni kivita tunaiita Gorila War Style...!Huo ndio ukamanda mkuu, mwanaume ni kama simba katika kuwinda haogopi kujeruhiwa
Kukataliwa ni sehemu ya game, pengine mwanzo mwanamke anaweza akakukatalia baadae unavyo behave akarudi mwenyewe ukajilia kiulaiini, nawashangaa wanaotumia nguvu na kulazimisha haya mambo kwa usumbufu usiokua na maana kwa Ke
Hahahaaa. Usijali Mkuu nasubirian
nitajitahidi ila siwezi eleza yote ngoja mida ifike wengine walale