Shtuka..! Unaibiwa

Jiran kwani ukiwa kwenye uhusiano ndio unafunga vioo?? Hahahah unatakiwa ufungue vioo uangalie the best zaidi.

Japo mie nimefunga vioo. ]]]
Sasa uvifungue vya nini jirani.

Wachaaaaa. Kumbe eee? Haya fungaga hivyo hivyo jirani.
 
Sioni tatizo hapo, mapenzi huanzia mahala popote haijalishi mlikutana wapi siku ya kwanza.......iwe kwneye basi,mtaani,kwenye matamasha,kwenye tafrija ,humu jf nk cha msingi kila mmoja anajaribu bahati yake....
Wengine wanakuwaga na mahusiano yao tayari Mkuu ila wanapata au kutoa mitongozo kwa wengine wakati wa kusafiri.

Hii imekaaje?
 
wakati mwingine upande mmoja unajikuta una stress sasa abiria mwenzake akiweza kuonekana anaweza kupunguza stress zake basi ndo michakato ya mapenzi inaanza.
ila ni mapenzi fulani ya kijinga na huwa hayana maisha kwa pande zote mbili zaidi ya show na kuachana na wakati mwingine unaweza usitoe hata kitu.
 
Mpka kulishana jamani...
 
Umeona Mkuu japokuwa nishawahi pata storry kuna wale wa safari za mbali zile za kulala njiani wanafikia hatua ya kulalan* kabisa.

Mie pia siyaafiki kwa kweli maana waeza kuta Me anamdanganya mwanamke kwa muda tu ili kuondoa hizo tunazoziita stress na unakuta hana nia yeyote nzuri.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…