kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,012
- 11,944
Kama ni hivyo kwa nini naye asihujumu show ya Jide.
Aha ha ha haaaaaaaaa!!!!! Ritz kumbe umekimbilia huku?nimekumiss sana jamaa yangu.
Kama ni hivyo kwa nini naye asihujumu show ya Jide.
Acha hizo, sema tu mwana fa kwa sasa sio hit kiviiiile, na hata hii single yake mpya sio viiiiiile..
Ila kama ni men vs women, basi uandaliwe mpambano kati ya dada na sukari ya warembo a.k.a platnum tuone.........Dada lazima akae..
eti ilihujumiwa, ja hawana aibu hata kidogo, yeye na waandaji wake si ndio wananguvu katika kiwanda cha muziki wa bongo fleva....
Kwan FA alikuwa anazindua albamu au?
Kwann anaitwa mwanafistula?
Kama ni hivyo kwa nini naye asihujumu show ya Jide.
Show yake imeingiza Mill7