Should you maintain contact or friendship with Ex-partner?

Should you maintain contact or friendship with Ex-partner?

wadau inategemea huyo ex wako mliachanaje au alikumwagaje kuna mwingine anakuwa amekufanyia unyama wa hali ya juu!
mimi ex wangu alichonitenda........................he will never be my friend!
 
It is very very possible. Mi ma ex wangu wote ni ma friends zangu now
 
Kuna siku mume wa demu wangu wa zamani aliwahi kuniita tukutane mahali ana jambo la kujadili nami. Bahati nzuri tunafahamiana kiasi kwani wakati anamchumbia huyo demu bado nilikuwa nae, tulikuwa chuoni na mambo yangu yalikuwa hayajawa na msimamo, kwa hiyo demu aliponieleza kuna mtu kaonesha interest nimpe msimamo wangu, tukakubaliana aendelee nae. Hata hivyo hakuwa amemwambia tuna uhusiano, kwa hiyo jamaa akawa ananiita "shemeji". Tukakubaliana na yule msichana kuwa tuwe kaka na dada, na tumeendelea hivyo hadi leo. Basi hiyo siku jamaa alivyoniita (ilishapita miaka 4 na walikuwa na mtoto), kwa kuwa hatukuwa tumepanga lolote, "chale" likanicheza nikampigia "dada" simu, akanijibu hana habari kuwa mwenzie ana kikao nami, nikajua kuna mtego. Nimefika pa kukutania nikamkuta yuko peke yake, keshaagiza nyama choma na bia, tukaendelea. Akiwa ameshalamba bia nne za fastafasta (haikuwa tabia yake, nadhani alikuwa anaondoa nishai), akaanza kunihoji kipolisi, nimwambie ati mkewe nilishamlala mara ngapi?

Kama ni wewe ungemjibu nini "shemejio" huyo?
hii kali!macho yalikutokaje Kithuku?maana ni shemeji yako sasa.hapo ndio uongo na ukweli hujitenga
 
Swali Langu Wandugu Nauliza Mbona Kila Demu Unaekutana Nae Na Baadae Mnakuwa Hadi Wife Na Nanii,,,,mnapokutana Mkiulizana Tena Wakati W Mapenzi M Ni Wangapi Kwako Anajibu Kama Si Wapili Watatu,,ukiuliza Sana Nyuma Unaambiwa Unamaliza Mikono Miwlii Wengine Na Miguuni Duuhhh Same To Men Hapo Vipi Kwa Nini Tusiwe Wa Wazi,,,nakumbuka Mke Wangu Nilie Nae Aliponiuliza Nilimwambia We Ni 63,,,kati Ya Hao 30 Nililala Nao Chuo Kikuu,,sikumficha Nilipokuja Kwake Akasema We M Ni Wa 51,,kwa Kweli Nilitiwa Nguvu Kuambiwa Ukweli Although Nimejiuliza Kama Anaetembea Na 50 Anataja Ni Wa Pili Huyu Anaetaja 50 M Si Wa Mia Na Hamsini Madada Tusaidiane Hoja Hii
mbavu zangu jamani!
 
Kukumbushia muhimu wakuu wadau wanasema ya kale hayanuki.
zamani ndio ilikua ya kale hayanuki siku hizi yananuka wangu!tena unakuta yananuka na watu tayari wameshajumlisha na marsdhi mengine so unakua BUDEGE fulaniumebeba taka na zinakunukia.
 
zamani ndio ilikua ya kale hayanuki siku hizi yananuka wangu!tena unakuta yananuka na watu tayari wameshajumlisha na marsdhi mengine so unakua BUDEGE fulaniumebeba taka na zinakunukia.
mmh! yanuka mwenzangu tena yananuka haswaa
 
yaani umeshaachana na mpz wako na ukapata mpz mwingine alafu ukawa bado unawasiliana na mpz wako wa zamani kwenye simu na ata sikunyingine ata kuonana mnaonana.je ni sawa?
 
Kuwasiliana kikazi au kimjini mjini2? na mnapo onana mnakumbuka yazamani au mnakunywa soda mnaondoka? na jee yule ulokuanae akikuona utamueleza nini akikuliza huyu nani? sidhani kama ni sawa kama mlisha maliziana ni basi kila mtu aangalie ustarabu wake.
 
nani alikwambia kuachana ni uadui?.....mapenzi ni kama siasa mdogo wangu........ongea nae tu
 
Kikazi ni sawa ila kifisadi tu na wakati tayari unamchumba mwingine hiyo sio sawa.
 
Unataka kurudi tena jimbo la uchaguzi? Sio poa unless kama ni kwa issue ya kazi au bado huja ji engage na mtu mwingine tofauti na hapo utakua humtendei haki mpenzi mpya
 
Edson alishasema, kuachana si uadui. Ikiwa ni mawasiliano kama marafiki tu, sioni kama kuna ubaya wowote, lakini usijaribu kusogea hata sentimita moja mbali zaidi na urafiki wenu. Ni bora zaidi ikiwa huyu mpenzi wako wa sasa akajua, kwanza, kuwa ulikuwa na uhusiano na huyo jamaa, pili, ajue kuwa unawasiliana naye. Na kama unataka uishi kwa amani na mpenzi uliyenaye, bora umjulishe kwa huyo wa wa zamani. Vyenginevyo, yoyote yatakayokuwa yanafanyika kwa siri baina yako na ex-wako yanaweza kukutilia kitumbua mchanga.
 
Sioni kama kuna ubaya ila hyo itategemea mliachana vipi.
 
yaani umeshaachana na mpz wako na ukapata mpz mwingine alafu ukawa bado unawasiliana na mpz wako wa zamani kwenye simu na ata sikunyingine ata kuonana mnaonana.je ni sawa?
What different does it make?
 
kama ilishindikana kuongea na kuyasort mpaka ikafikia hatua ya kuachana sidhani kama kuna tija ya kuwasiliana hapo.
yani sitaki mawasiliano KABISA
 
Why are you keep a dead dog !umeshaonekana haufai then unawasiliana nn !mwisho wa uhusiano its end of everythng kama mliwasiliana b4 mkaishia kuachana ,at th end mmoja anaonekana zoba!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom