King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,798
kama mwenzi wako akiwa na mawasiliano ya karibu na ex wake,utajisikiaje? nadhani ukikutana nae, dont bite his/her head off. salamu tu zinatosha (sio tena lets have one drink...). usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzio, lakini pia whatever u do behind ur partner's back, do @ ur own risk!manake ni wazi huwezi kukutana nae in the presence of ur partner!